Lugovoy
JF-Expert Member
- Mar 2, 2011
- 573
- 170
Yeah,Dr Elisia ni bintiye
Sawa mkuu, namfahamu Daktari, yuko very humble.
Yeah,Dr Elisia ni bintiye
asante mkuu!kumbe alikuwa wizara ya fedha!kwa hivyo alikuwa anatupangia mipango 5 years ago leo hii tumuamini kwa kutupangia mpango wa coming 5 years.haya bana mi yangu macho.
Ni huyu mteule Kamishna mpya wa TRA. Ama kwa hakika Jamii Forums ni sheeda, ina data za kila mtu!
HapanaAna undugu na Kikumbi Mpango?!
You knew what was coming eeeee!!Mkuu sensor kuna muda huruhusiwi kufunguka saana
mtoto wa babake mkubwaJe Askofu Mpango(Mstaafu DWT Kasulu) pia ni ndugu yake?
Of course ...especially kitu kisipokuwa sawa