Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,354
- 33,192
nataka kuyatengeneza hapo Dar ili watu wayatumie kwa kupikia kwa kutumia mkaa mnasemaje?Nitapata Soko?
@Globu yapo sehemu gani hapo Dar?Mbona yamejaa haya majiko. Yapo kitambo.
@King'asti nimeichukuwa hiyo picha Kenya sio Tanzania.Kwani hii picha umeichukua bangladesh ama nepal?
@Likwanda wanauza bei gani huko Tandale kwa mtogole?Hadi Tandale kwa Mtogole wanatengeneza tena bei poa kabisa, labda ubuni aina ingine mkuu.
.Mbona yapo longtime tu...duuh rudini nyumbani mambo mengi yamebadilika!
Kwani hii picha umeichukua bangladesh ama nepal?
Bora MadameX umesema, buni kitu kingine utapata soko, walishawahi wezio.Mbona yapo longtime tu...duuh rudini nyumbani mambo mengi yamebadilika!
Yapo pia msasani, near oysterbay police karibu na ubalozi wa marekani, na as u go to morocco trafic lights.
Weakness kwenye haya majiko ni durability ya hiyo bati inayotumika. Nadhani yanaliwa na moto...
@The Pen Ok nimejaribu kuyaulizia kama yapo nilifikiri yapo tu Kenya ninashukuru sana kwa kunipa mawaza mazuri.Haya meko ni mengi sana, mkuu MziziMkavu, hata ktk masoko yanapatikana. Labda jaribu kuongezea ubunifu -- Don't reinvent the wheel, but try to make it better.