realoctopus
JF-Expert Member
- May 11, 2014
- 3,232
- 1,981
And thats is their mind,huko ndiko tunako elekea kimya kimya,unataka prove?Unajua tungefanya kitu kimoja kuifanya Tanesco mfilisi na kuanzisha kampuni mpya Serikali tumiliki share na private company wamili angalau 25% ya share tu register hiyo kampuni kwenye soko la DSE kukwepa ujanja ujanja....
Hawa wakina IPTL waje kuomba mikataba upya.....
Hii hapa;
Shirika limeelekezwa lijiiendeshe kwa fedha zake,sawa?
Serikali haitaku kuinject pesa katika shirika,sawa?
Jiulize,litajiendeshaje wakati gharama za uendeshaji ziko juu kutokana na madeni?
Serikali ilipoona Mramba anataka kutumia mbinu mbadala ya kuendesha shirika,ikaingilia kati sababu ingeharibu mkakati wake.
Serikali ilicho taka,shirika likose fedha za kujiendesha,lijifie,mikataba iwe automatically terminated,ndipo lianzishwe shirika jipya lenye jina jipya.
Hapo,richmond,dowans,symbion wakina tegeta escrow,iptl na wengine watakuwa diminished.
TANESCO ITAFUFUKA TENA KWA UJIO MPYA.