Desturi inatufundisha ukimkuta mtu shambani kwako kang'oa muhogo na anautafuna sio mwizi bali ana njaa.
ukimkuta kang'oa muhogo kaufunga vizuri na kajitwisha ni mwizi anastahili mawe.
Nina njaa na kiu ya maarifa kutoka kwenu wana Jf.
Ninapo kosea mnikosoe.
inawezekana nikawa nang'oa muhogo kwa ajili ya njaa na ukanipiga mawe kwa kufikiri ni mwizi.
heri usubiri uone atakaa atafune au atafunga ajitwishe!
Naomba mnipokee kama nilivyo.
Asanteni Uongozi woote na members wa Jf.
ukimkuta kang'oa muhogo kaufunga vizuri na kajitwisha ni mwizi anastahili mawe.
Nina njaa na kiu ya maarifa kutoka kwenu wana Jf.
Ninapo kosea mnikosoe.
inawezekana nikawa nang'oa muhogo kwa ajili ya njaa na ukanipiga mawe kwa kufikiri ni mwizi.
heri usubiri uone atakaa atafune au atafunga ajitwishe!
Naomba mnipokee kama nilivyo.
Asanteni Uongozi woote na members wa Jf.