Wakowapi wazalendo wetu???????????

Mohammed Hamad

JF-Expert Member
Jan 17, 2011
3,988
1,304
Habari za leo wapendwa.

Kwa siku takriban tano nimekuwa nikiumiza kichwa na kujiuliza wakowapi wazalendo wa nchi hii? ndio wale wazalendo waaandishi wa habari na wanasiasa waliokuwa wakipinga Tanesco isinunue mitambo ya Dowans kwa sababu ni ya kifisadi! Lakini wamefyta mkia baada ya Dowans kuuzwa! sasa nashindwa kuelewa akili zao zipo vipi? Maana mashine zile zingenunuliwa na Tanesco kusingekuwa na capacity charges wala kununua umeme utakaozalishwa kwa units zitakazozalishwa. Sasa kuna maneno ya chini chini kuwa Symbion Power wanajadili mkataba na Tanesco je Symbion watauza umeme senti nne za kimarekani kama Dowans? ina maana wazalendo wetu wanalichukulia poa hili swala la nchi yetu kuwa shamba la bibi? Wako wapi waandishi wetu waliokuwa wamelisimamia kidedea swala la Dowans? Wako wapi wanasiasa wetu waliokua wakiongea mpaka mapovu ya mdomo yanawatoka kwenye kupinga serikali isinunue mitambo ya Dowans?

Naongejea kwa hamu Dr Slaa, Mwakyembe na Sitta wazungumzie ununuzi huu I can't wait Mwanakijiji na kina Ansert Gurumo articles to apper on newspapers ziwe za kupongeza Symbion Powers au kama zile za Dowans nina shauku kujua mengi hawa wakubwa wanalichukulia vipi hili swala.


 
Habari za leo wapendwa.

Kwa siku takriban tano nimekuwa nikiumiza kichwa na kujiuliza wakowapi wazalendo wa nchi hii? ndio wale wazalendo waaandishi wa habari na wanasiasa waliokuwa wakipinga Tanesco isinunue mitambo ya Dowans kwa sababu ni ya kifisadi! Lakini wamefyta mkia baada ya Dowans kuuzwa! sasa nashindwa kuelewa akili zao zipo vipi? Maana mashine zile zingenunuliwa na Tanesco kusingekuwa na capacity charges wala kununua umeme utakaozalishwa kwa units zitakazozalishwa. Sasa kuna maneno ya chini chini kuwa Symbion Power wanajadili mkataba na Tanesco je Symbion watauza umeme senti nne za kimarekani kama Dowans? ina maana wazalendo wetu wanalichukulia poa hili swala la nchi yetu kuwa shamba la bibi? Wako wapi waandishi wetu waliokuwa wamelisimamia kidedea swala la Dowans? Wako wapi wanasiasa wetu waliokua wakiongea mpaka mapovu ya mdomo yanawatoka kwenye kupinga serikali isinunue mitambo ya Dowans?

Naongejea kwa hamu Dr Slaa, Mwakyembe na Sitta wazungumzie ununuzi huu I can't wait Mwanakijiji na kina Ansert Gurumo articles to apper on newspapers ziwe za kupongeza Symbion Powers au kama zile za Dowans nina shauku kujua mengi hawa wakubwa wanalichukulia vipi hili swala.



Anza wewe toa msimamo wako.
 
Anza wewe toa msimamo wako.

Msimamo wangu ni kuwa Tanesco wangenunua mitambo pengine hii ya dowans haifai basi wangenunua mingine ili isiingie gharama za kununua umeme na zile za capacity charges wewe msimamo wako upo vipi?
 
Msimamo wangu ni kuwa Tanesco wangenunua mitambo pengine hii ya dowans haifai basi wangenunua mingine ili isiingie gharama za kununua umeme na zile za capacity charges wewe msimamo wako upo vipi?

Sheria za manunuzi za serikali haziruhusu kununua mitambo ambayo ni second hand, na pia hairuhusu "kusingle source" mzabuni..
 
Bwn Mohammed salaam. Nijuavyo ili suala linaleta utata wa ajabu kiasi kwamba inaonekana dhahiri kuwa lina mamlaka ya juu ktk kuhusika. Pia haiwezekani kabisa taifa lenye utawala makini na amiri jeshi wake makini likaendelea kutegemea mawazo ya hao uwaitao 'wazalendo' ktk kutafuta haki. Ieleweke wazi kuwa watu wote wameshelalamika wasi kuonekana kwa upuuzi huu tangu mwaka 2007. Wapo wengi walioleta matamshi hadi utawala wa juu ukawaita 'wazabinazabina'. Sasa kinachotafutwa nini hasa?au hao wazabinazabina ndo waunde mahakama yao wahukumu Dowans? Je mahakama si iliweka pingamizi kwamba kitu chochote kisiendelee nje ya mahakama,sasa mbona watu wanafanya ujambazi hadharani kama taifa halina government? Hatuwezi kuendelea kwa kuwataka 'wazalendo' ndo watoe kauli. Nawapongeza 'wazalendo' kwa kuwa na priority ktk mengne kwanza ili muda ukifika mdai na mdaiwa wataiona hukumu. Siku njema ndugu.
 
Ndugu yangu Shossi,
Siamini kwamba ulifutilia vizuri sakata ama serikali/TANESCO inunue mitambo ya kufulia umeme ya Dowans au la. Hapa egemeo haikuwa nani mazalendo na nani si-mzalemdo ingawa katika mchezo wa siasa kuna uwezekakano wa viongozi batili/wajanja walipotosha hoja hiyo ya msingi kwa manufaa yao. Swala hapa ni sheria za nchi na uongozi bora; nchi na madaraka yake vikiweka sheria lazima vizisimamie kikamilifu siyo kuangalia nani kafanya nini. Sheria ya manunuzi ambayo imetungwa na Bunge inakataza serikali na vyombo nyake vyote kununua mitambo, machine au magari machakavu au yaliyotumika period! La pili, wataalam wameonyesha kwamba kwa bei hiyo hiyo, kama si chini kidogo, serikili/TANESCO wanaweza kununua mitambo mipya kwa nini hawanunui mitambo yao GE mpaka wapandie migongoni kwa akina Gae. Ukiacha yote, kumbuka TANESCO ilipinga ununuzi wa mitambo hii na ndiyo serikali ikaiweka pempeni wakaunda timu yao ya ulaji laini; au umesahau ndugu yangu. Sasa untaka wazalendo weseme nini ziada ya kuimbia serikali nunueni mitambo mipya, ipo GE!
 
Sheria za manunuzi za serikali haziruhusu kununua mitambo ambayo ni second hand, na pia hairuhusu "kusingle source" mzabuni..

Sheria hizi za manunuzi zimetungwa au zinatoka mbinguni? kwanini sheria hii isikatae kununua umeme unaozalishwa na machine chakavu?
 
tuache ushabiki hapa .... kinachotakiwa ni TANESCO kuwa na umeme (megawatts za kutosha) wenye uwezo wa kukidhi gridi ya taifa ... sasa nani anazalisha nani ana mitambo hizo zote ni corporate interests

uzalendo huu umefanikiwa kwa kiasi kikubwa kwa sababu tunakiri wazi kabisa TANESCO ni public institution ambayo imekuwa haina track record nzuri ya kujiendesha na kutoa nishati ya umeme .... mojawapo ya sababu za kushindwa kwao ni poor management

nahisi hivi ni vimipasho kwa Mzee M ... unless otherwise hakuna hoja kwenye mada hii
 
tuache ushabiki hapa .... kinachotakiwa ni TANESCO kuwa na umeme (megawatts za kutosha) wenye uwezo wa kukidhi gridi ya taifa ... sasa nani anazalisha nani ana mitambo hizo zote ni corporate interests

uzalendo huu umefanikiwa kwa kiasi kikubwa kwa sababu tunakiri wazi kabisa TANESCO ni public institution ambayo imekuwa haina track record nzuri ya kujiendesha na kutoa nishati ya umeme .... mojawapo ya sababu za kushindwa kwao ni poor management

nahisi hivi ni vimipasho kwa Mzee M ... unless otherwise hakuna hoja kwenye mada hii

Kuna mtu kanitumia msg kwenye namba yangu ya kiganjani anasema tatizo Dowans ni wavaa kanzu ndio maana walikuwa hawanywi maji na Symbion wapiga suti ndio maana jamaa kimya! sijui kama hili lina ukweli mie naamini kuna jambo iweje magaazeti ghafla hakuna habari tena za dowans wala symbion?
 
Kuna mtu kanitumia msg kwenye namba yangu ya kiganjani anasema tatizo Dowans ni wavaa kanzu ndio maana walikuwa hawanywi maji na Symbion wapiga suti ndio maana jamaa kimya! sijui kama hili lina ukweli mie naamini kuna jambo iweje magaazeti ghafla hakuna habari tena za dowans wala symbion?

Unaanza kudiverge mada stick to the point
 
  • Thanks
Reactions: LAT
Tatizo kubwa ni kuangalia ni nani atafaidika moja kwa moja na deal ya TANESCO. Sasa hawa akina SIX kwa sababu RA hatakuwa anafuatilia malipo TANESCO wapo kimya. Magazeti yetu usiseme hata wapinzani wameufyata kwa likampuni la akina OBAMA. Kama Shossi alivyosema, wananchi wetu kuanzia chini hadi mpangaji wa MAGOGONI wakiona Mzungu suala la utaratibu halipo, HIVYO kwa Symbion hakutakuwa na kufuata sheria ya manunuzi. Subiri wiki ijayo katika HOTUBA ya Bajeti watapotamka mitambo ya SYMBION ni suluhisho la MGAWO wa umeme nchini.
 
Habari za leo wapendwa.

Kwa siku takriban tano nimekuwa nikiumiza kichwa na kujiuliza wakowapi wazalendo wa nchi hii? ndio wale wazalendo waaandishi wa habari na wanasiasa waliokuwa wakipinga Tanesco isinunue mitambo ya Dowans kwa sababu ni ya kifisadi! Lakini wamefyta mkia baada ya Dowans kuuzwa! sasa nashindwa kuelewa akili zao zipo vipi? Maana mashine zile zingenunuliwa na Tanesco kusingekuwa na capacity charges wala kununua umeme utakaozalishwa kwa units zitakazozalishwa. Sasa kuna maneno ya chini chini kuwa Symbion Power wanajadili mkataba na Tanesco je Symbion watauza umeme senti nne za kimarekani kama Dowans? ina maana wazalendo wetu wanalichukulia poa hili swala la nchi yetu kuwa shamba la bibi? Wako wapi waandishi wetu waliokuwa wamelisimamia kidedea swala la Dowans? Wako wapi wanasiasa wetu waliokua wakiongea mpaka mapovu ya mdomo yanawatoka kwenye kupinga serikali isinunue mitambo ya Dowans?

Naongejea kwa hamu Dr Slaa, Mwakyembe na Sitta wazungumzie ununuzi huu I can't wait Mwanakijiji na kina Ansert Gurumo articles to apper on newspapers ziwe za kupongeza Symbion Powers au kama zile za Dowans nina shauku kujua mengi hawa wakubwa wanalichukulia vipi hili swala.



Ndio maajabu yenyewe wanasiasa unaweza wapa benefit of the doubt labda wanajipanga kuangalia political gains or calculating their own attacks.

Lakini waandishi mmmmh maana kwanza ilianza hile ya Lowassa kunyimwa uraisi kwa misingi ya udini hawa watu inaonekana wanananulika kirahisi kama wadada wa magot. Mara tu gazeti hilo hilo moja limekuja na staili nyingine hizi kweli siasa za maji taka.

Yote njaa na kutokuwa na imani na wao wenyewe hawa wazalendo uchwara si ajabu ni watu wakujiami na kuogopa ogopa hata visivyokuwa matishio kwao pengine hata wasikutane navyo in their life times.
 
Kuna mtu kanitumia msg kwenye namba yangu ya kiganjani anasema tatizo Dowans ni wavaa kanzu ndio maana walikuwa hawanywi maji na Symbion wapiga suti ndio maana jamaa kimya! sijui kama hili lina ukweli mie naamini kuna jambo iweje magaazeti ghafla hakuna habari tena za dowans wala symbion?
kumbe wewe target yako hapa ni kuongelea udini tu hapa.
JK si ndio mwenye mamlaka yote? mfuate umwambie si unalalamika tu hapa angekuwa Mkapa ndio rais nina uhakika ungeshavaa bomu na kujilipia sasa ivi ngekuwa na mabikra
 
Habari za leo wapendwa.

Maana mashine zile zingenunuliwa na Tanesco kusingekuwa na capacity charges wala kununua umeme utakaozalishwa kwa units zitakazozalishwa.

Shossi kwani TANESCO walimbia Mitambo ya Dowans tu ndo inatakiwa kuzalisha umeme Tanzania.
Tujiulize

  • kwa Kwa nini akili za vichwa vyote ma engineer wote suluisho la a tatizo la umeme wameliweka sehemu moja?
  • Dowans ina share gani kwenye sekta ya umeme duniani au africa
Sio sula la wazalendo kusema sote tujiulize kama nchi inafkiia iasi cha kukosa altenatives hilo ni janga la kitaifa. . IPTL. Dowanza Songas , etc yet bado kuna mgao.

Hizi Mgw za viababa mpaka lini ? Tutasikia kila mkoa unahitaji mtambo wake. Kigoma tulishazoea
 
Tatizo kubwa ni kuangalia ni nani atafaidika moja kwa moja na deal ya TANESCO. Sasa hawa akina SIX kwa sababu RA hatakuwa anafuatilia malipo TANESCO wapo kimya. Magazeti yetu usiseme hata wapinzani wameufyata kwa likampuni la akina OBAMA. Kama Shossi alivyosema, wananchi wetu kuanzia chini hadi mpangaji wa MAGOGONI wakiona Mzungu suala la utaratibu halipo, HIVYO kwa Symbion hakutakuwa na kufuata sheria ya manunuzi. Subiri wiki ijayo katika HOTUBA ya Bajeti watapotamka mitambo ya SYMBION ni suluhisho la MGAWO wa umeme nchini.


"During the period that we will be testing the equipment online, we will be generating electricity at our own risk - meaning that even before we have an agreement with Tanesco. Power will be provided during this testing phase at no cost from Symbion to them," he said, adding: "This will be of immediate benefit to Tanzania."

Wanajua tunapenda vya bure soma hapa chini nadhani hii habari ndio imewanyamazisha wengi............

Symbion last week submitted proposed charges for the sale of electricity to Tanesco. Its Country Director, Christopher Camponovo, told reporters in Morogoro that the charges form part of the Symbion bid opened publicly at Tanesco.
These are 4.99 US cents per kWh using gas and 6.5 US cents per kWh when using jet fuel, both amounts excluding fuel costs and described by Symbion as lower than those charged by Songas and IPTL.
"Our charges are lower than even the cost of Tanesco's own gas generation in Dar es Salaam and Mtwara," he said.

Lakini wakaweka wazi kuwa hawatacharge tena senti nne kama dowans wao wataongeza ili kuweza kupata faida na wanajua cost zetu jamaa hawa wana akili sana!
 
Ndio maajabu yenyewe wanasiasa unaweza wapa benefit of the doubt labda wanajipanga kuangalia political gains or calculating their own attacks.

Lakini waandishi mmmmh maana kwanza ilianza hile ya Lowassa kunyimwa uraisi kwa misingi ya udini hawa watu inaonekana wanananulika kirahisi kama wadada wa magot. Mara tu gazeti hilo hilo moja limekuja na staili nyingine hizi kweli siasa za maji taka.

Yote njaa na kutokuwa na imani na wao wenyewe hawa wazalendo uchwara si ajabu ni watu wakujiami na kuogopa ogopa hata visivyokuwa matishio kwao pengine hata wasikutane navyo in their life times.

Hivi balozi wa super power akiipongeza kampuni ya nyumbani kuna mwandishi au mwanasiasa anaeweza kuongea kitu? Kitu hiyo aliiweza Mwalimu peke yake na kwa bahati mbaya alizikwa nayo! Hakuna suala la udini wala nini ni woga tu!
 
Habari za leo wapendwa.

Kwa siku takriban tano nimekuwa nikiumiza kichwa na kujiuliza wakowapi wazalendo wa nchi hii? ndio wale wazalendo waaandishi wa habari na wanasiasa waliokuwa wakipinga Tanesco isinunue mitambo ya Dowans kwa sababu ni ya kifisadi! Lakini wamefyta mkia baada ya Dowans kuuzwa! sasa nashindwa kuelewa akili zao zipo vipi? Maana mashine zile zingenunuliwa na Tanesco kusingekuwa na capacity charges wala kununua umeme utakaozalishwa kwa units zitakazozalishwa. Sasa kuna maneno ya chini chini kuwa Symbion Power wanajadili mkataba na Tanesco je Symbion watauza umeme senti nne za kimarekani kama Dowans? ina maana wazalendo wetu wanalichukulia poa hili swala la nchi yetu kuwa shamba la bibi? Wako wapi waandishi wetu waliokuwa wamelisimamia kidedea swala la Dowans? Wako wapi wanasiasa wetu waliokua wakiongea mpaka mapovu ya mdomo yanawatoka kwenye kupinga serikali isinunue mitambo ya Dowans?

Naongejea kwa hamu Dr Slaa, Mwakyembe na Sitta wazungumzie ununuzi huu I can't wait Mwanakijiji na kina Ansert Gurumo articles to apper on newspapers ziwe za kupongeza Symbion Powers au kama zile za Dowans nina shauku kujua mengi hawa wakubwa wanalichukulia vipi hili swala.


sidhani kama wazalendo walikua hawataki mitambo ya dowans, bali walikua against procedure ya procurement.... and once one transfers ownership to another part ile product inakua haihusiani na huyo mpya unless ni kampuni hiyohiyo...

tafuta kitabu chochote cha legal aspects in procurement and supplies kitakusaidia kujua wapi kuna nini

ILA ninaamini bado wanapinga dowans kulipwa lakini hawawezi kuingia mambo ya dowans kuuza vitu vyake!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom