Wakoloni weusi waliowatoa wakoloni weupe 1961 Tanganyika

Waberoya said:
Kibaya na chakutisha, benki za nje zimeendela kupokea fedha nyingi zenye majina ya vigogo pasi kuficha
Duh!Kama wameshaanza kuondoa pesa,basi wamechemka zaidi kwasababu zitafuatiliwa tu...Tena hizo benki tunaweza kuanza kuzibana kwa sasa.

Mbona walizibana za Gaddafi?

Double standard ama?
 
Duh!Kama wameshaanza kuondoa pesa,basi wamechemka zaidi kwasababu zitafuatiliwa tu...Tena hizo benki tunaweza kuanza kuzibana kwa sasa.

Mbona walizibana za Gaddafi?

Double standard ama?

Ndiyo mkuu, kuna mtanzania ambaye yuko ughaibuni, ameandika e-mail kuwa kasi imeingezeka na wengi wa vigogo wanaandika majina ya watoto wao ambao wengi wako ulaya.

Ilikuwa inapita miezi mpaka 3 kukuta account ya watanzania ina fedha ambazo si za ada na wale wanaofanya kazi huko kiserikali

sasa hivi rate imeongezeka kwa mwezi wa kumi pekee ni watanzania vigogo 8 ambao account zao zimejaa fedha nzuri ambazo sababu zako ni 'personal'

ndiyo tutazirudisha , tutazichukua....lakini iwe sasa , tusijifanye sana hatupendi vita wakati maisha yetu ya kupata ugali kila siku ni vita kamili!
 
Ndiyo mkuu, kuna mtanzania ambaye yuko ughaibuni, ameandika e-mail kuwa kasi imeingezeka na wengi wa vigogo wanaandika majina ya watoto wao ambao wengi wako ulaya.

Ilikuwa inapita miezi mpaka 3 kukuta account ya watanzania ina fedha ambazo si za ada na wale wanaofanya kazi huko kiserikali

sasa hivi rate imeongezeka kwa mwezi wa kumi pekee ni watanzania vigogo 8 ambao account zao zimejaa fedha nzuri ambazo sababu zako ni 'personal'

ndiyo tutazirudisha , tutazichukua....lakini iwe sasa , tusijifanye sana hatupendi vita wakati maisha yetu ya kupata ugali kila siku ni vita kamili!
Duh!This is unbeliavable,ebu niapatie hiyo email mkuu kama ukiweza.

Ningeshukuru.
 
Ndoto za mchana hadi mwaka 2015, na hakuna uhuru mara ya pili ila fanya kazi sio kusogoa vijiweni.
 
well said mkuu...but how?

maana hawa tulio nao hawa (the sugu's & lema's of this world) ambao mimi naona walau wanajitahidi kutuonyesha kitu fulani kivitendo tunaishia kuwaponda na kuwa-brand eti ni "opportunists", vilaza, name it!

tunaweza tusikubaliane na methods zao lakini kama wanachokifanya kina uwezo wa ku-ignite some kind of uprising against the corrupted establishment (you have correctly cited recent Mby & Arusha incidents - i think unajua kibri yao wameitoa wapi hawa watu!), why not give the credit where it is deserved?
Hakika kazi wanazofanya zimewajenga sana na kupata support ya umma. Hata hivyo wanatakiwa kuwa waaangalifu sana wasije kupoteza imani ya umma. Kauli za kina Selasini kutaka kujiongezea mishahara na posho bila kujali hali ya wapiga kura wao si za kujenga. Waangaliwe sana kwani walau kiongozi wa CDM alishatoa msimamo bungeni kuhusu posho na mishahara.
 
Wana JF,

Mimi nafikiri ni bora kuja kuongozwa na Mjerumani, Mwingereza au any ... kulikoni kuongozwa kwa Mzaha na hii serikali ya sisiem na Mafisadi wake...

Can you imagine Raisi wa nchi anathubutu kusema huduma ya Afya ni nzuri kuliko miaka mitao iliyopita.. wakati ukweli ni kwamba waTZ ndiyo tumeelimika na kujikinga zaidi kuliko tiba tunayopewa...

Raisi anasema Kila Hospt ya wilaya ina X-Ray wakati Temeke, amana na Mwananyama tunafahamu hali ilivyo.

Bora tujue moja.. kulikoni hizi Blah blah..
 
Yeap, kama kuna uwezekano warudisheni tu wakoloni. Mtu mweusi hawezi kujitawala.
 
Hivi wewe umewahi kupost mjadala wowote humu? Unapouliza "mnaonaje?" ni kwamba tunaona kwa kutumia macho, na wewe je?
 
Hatukufanya haraka kuwaondoa wakoloni sema tulibadilisha mno haraka wakoloni toka Mwingereza kwenda TANU-CCM
 
Back
Top Bottom