Imekua je tena? Huwezi kua hakimu kwenye shauri lako mwenyewe " you can't be a judge in your own case"....... its time wasting and officially legalising Dp world to take over the port watakua backed na support ya mahakama, hiyo mmejifunga wenyewe inaitwa own goal.....Ngoma inogile:
View attachment 2677538
Kwenu chawa na watajwa wote habari ndiyo hivyo.
View attachment 2677540
Rasilimali ni za wananchi. Kwenye hilo tutaelewana tu!
Clips mbili kwenye mada zimejielekeza waziwaziImekua je tena?
upuuzi mtupu.
hizo pesa wanazo tumia mawakili ni bora wange chimba visima wananchi wapate maji kuliko kupoteza muda na pesa.
Wanaume wanapotetea maslahi ya nchi yao machawa mkae pembeni.upuuzi mtupu.
hizo pesa wanazo tumia mawakili ni bora wange chimba visima wananchi wapate maji kuliko kupoteza muda na pesa.
Umemaliza mjadala.upuuzi mtupu.
hizo pesa wanazo tumia mawakili ni bora wange chimba visima wananchi wapate maji kuliko kupoteza muda na pesa.
Chawa wanapo chachawa ifahamike hawana pa kujificha. Penye upara chawa anajificha wapi?Uho Muda wanapoteza bure wanaacha kupambana na kATIBA wapo na bandari mawakili uchwara
"Uho" ha ha haa., kama mna majibu ya huo mtihani acha tusubiri matokeo.Uho Muda wanapoteza bure wanaacha kupambana na kATIBA wapo na bandari mawakili uchwara
Kweli watu wanabadilika kutokana na mazingira aisee
Ukiwasikiliza baadhi ya wanaCCM hawa wa enzi ya Rais wa sasa, huwezi kuamini kama ndio hawa hawa aliowaacha Magufuli. Huwezi kuamini kama ndio hawa hawa walitaka kutoana meno na watu kisa Makinikia. Huwezi kuamini kama ndio hawa hawa walikuwa wakiwaita wazungu mabeberu.
Nimesema baadhi kwasababu nafahamu WanaCCM wengi sana ambao wapo kinyume na huu ujinga wa kuwapa bandari waarabu!
Ni kweli hasa ukizingatia wamefungua kesi kwenye mahakama za ndani ambazo haziko huru.upuuzi mtupu.
hizo pesa wanazo tumia mawakili ni bora wange chimba visima wananchi wapate maji kuliko kupoteza muda na pesa.
Utamu wa kupewa LC 300 series zero kilometa siyo mchezo, watu ni mwendo kujizima data
Ukiwasikiliza baadhi ya wanaCCM hawa wa enzi ya Rais wa sasa, huwezi kuamini kama ndio hawa hawa aliowaacha Magufuli. Huwezi kuamini kama ndio hawa hawa walitaka kutoana meno na watu kisa Makinikia. Huwezi kuamini kama ndio hawa hawa walikuwa wakiwaita wazungu mabeberu.
Nimesema baadhi kwasababu nafahamu WanaCCM wengi sana ambao wapo kinyume na huu ujinga wa kuwapa bandari waarabu!
Kisa wew tu na matakwa yako? Haturudi nyuma tunasonga mbele mzeeChawa wanapo chachawa ifahamike hawana pa kujificha. Penye upara chawa anajificha wapi?
Kwa sasa kaeni kwa kutulia huo mkataba mta unsign!
Cha ajabu wananchi bado wanaamini CCM ndio chama kinachoweza kuwavusha ktk bahari ya umaskini...hakika watanzania tumelishwa limbwata!!
Ukiwasikiliza baadhi ya wanaCCM hawa wa enzi ya Rais wa sasa, huwezi kuamini kama ndio hawa hawa aliowaacha Magufuli. Huwezi kuamini kama ndio hawa hawa walitaka kutoana meno na watu kisa Makinikia. Huwezi kuamini kama ndio hawa hawa walikuwa wakiwaita wazungu mabeberu.
Nimesema baadhi kwasababu nafahamu WanaCCM wengi sana ambao wapo kinyume na huu ujinga wa kuwapa bandari waarabu!
Cha ajabu wananchi bado wanaamini CCM ndio chama kinachoweza kuwavusha ktk bahari ya umaskini...hakika watanzania tumelishwa limbwata!!