Wakazi wa Goba & Salasala tutakufa kwa magonjwa ya mlipuko kwa huu upuuzi kujaza na kuziba makorongo kwa takataka.

Chief Wingia

JF-Expert Member
Jul 12, 2013
2,451
4,369
Habari zenu wakuu.
Aisee hii ni hatari sana karibia kila mtu aliyenunu kiwanja maeneo yenyewe makorongo ni mwendo wa kuziba kwa takataka kuanzia Salasala, Kinzudi, Majengo, Marobo, Mivumoni, Goba na Madale imekuwa kama fashion vile.
Unakuta mtaa mzima unanuka harufu ya dampo na mainzi kama tupo Pugu Dampo.

Ndugu wakandarasi hebu tusaidiane je, ni sahihi kweli kufukia makorongo ya viwanja kwa takataka.

Asante 🙏
 
Habari zenu wakuu.
Aisee hii ni hatari sana karibia kila mtu aliyenunu kiwanja maeneo yenyewe makorongo ni mwendo wa kuziba kwa takataka kuanzia Salasala, Kinzudi, Majengo, Marobo, Mivumoni, Goba na Madale imekuwa kama fashion vile.
Unakuta mtaa mzima unanuka harufu ya dampo na mainzi kama tupo Pugu Dampo.

Ndugu wakandarasi hebu tusaidiane je, ni sahihi kweli kufukia makorongo ya viwanja kwa takataka.

Asante 🙏
sasa yakioza si jengo litaporomoka au vipi
 
People hazielewi wao wanachoona ni kufukia tu kwa muda mfupi kuhusu decomposition hiyo hawajali
Exactly, those wastes are biodegradable and it is a matter of time before all are decomposed/degraded by microorganisms.....then what next?
 
Back
Top Bottom