relis
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 3,188
- 4,764
Habari wakuu? Nijiuliza inakuwaje wakazi wa DSM manyunyu kidogo kelele JF, huku DSM mvua kubwa tunashindwa kulala, sijui kama kutakucha. Mwingine kaenda mbali anasema kutokana na Radi watoto wamehamia chumbani kwake Kwa hofu nimeshangaa watoto gani hao.
Vijimanyunyu kelele JF, DSM inazalisha wanaume wa aina gani, kama huku Iringa radi inapiga kama umeifuata ilipo lakini husikii watu kulialia humu, matetemeko yanapita mpaka kitanda unakikuta sebuleni hakuna kelele Wala kutilia huruma humu yangu ni hayo tu.
Vijimanyunyu kelele JF, DSM inazalisha wanaume wa aina gani, kama huku Iringa radi inapiga kama umeifuata ilipo lakini husikii watu kulialia humu, matetemeko yanapita mpaka kitanda unakikuta sebuleni hakuna kelele Wala kutilia huruma humu yangu ni hayo tu.