Wakazi Morogoro: SGR Ndio Chanzo Cha Mafuriko.Je Waliojenga Wakufanya EIA au Walikurupuka?

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,076
49,785
Wakazi wa Kihonda Manispaa ya Morogoro wamelaumu ujenzi wa Sgr kwamba ndio umekuwa chanzo Cha Mafuriko kwenye maeneo Yao.

Swali la kujiuliza,hivi kabla ya ujenzi Environment Impact Assessment EIA ilifanyika au ndio tulikurupuka kama ilivyo ada?

Pili Miradi inatakiwa kuwa na matokeo Chanya Kwa Wananchi na sio Kuharibu maisha Yao,ikifikia huko hakuna maana ya huo mradi.

Wakati Wachina wanajenga Tazara walifuata ushauri wa kimazingira ndio maana huwezi kusikia eti reli ya Tazara inasababisha Mafuriko popote.

View: https://www.instagram.com/p/C20g5TLMnom/?igsh=a2Jwbzdmbmp0cHAy

My Take
Usipoziba ufa utajenga ukuta.Vilio kama hivi vitasikika maeneo yote ambako mradi huu imejengwa.
 
Choice naona bandiko lako limekaa kisiasa zaidi.

Kwa sababu umekuwa ukipinga mradi huu toka mwanzo.

Watu wanateseka, na badala ya kuja na suluhisho,(engineeeing solution) wewe unataka kukimbizana na mizimu. Yashapita.
 
Choice naona bandiko lako limekaa kisiasa zaidi.

Kwa sababu umekuwa ukipinga mradi huu toka mwanzo.

Watu wanateseka, na badala ya kuja na suluhisho,(engineeeing solution) wewe unataka kukimbizana na mizimu. Yashapita.
Wacha wateseke Kwa sababu wakati wanaambiwa utaratibu ufuatwe walikuwa wanakenua na kuona ni Wapinga maendeleo 😆😆

Ngoja wanyooshwe kwanza akili ndio zitakuja Ili hapo baadae kusitokee tena mambo ya Bora liende.
 
Hahaaa nimekumbuka Ile parking yard ya mabasi ya mwendo kasi pale jangwani.
Kweli ccm ni janga Kwenye hili taifa
 
Hahaaa nimekumbuka Ile parking yard ya mabasi ya mwendo kasi pale jangwani.
Kweli ccm ni janga Kwenye hili taifa
Ndio mambo ya kujifanya mtu anajua Kila kitu.

Mwendazake ndio alilazimisha ujenzi pale Jangwani kama alivyofanya hiyo Sgr bila kufanya EIA
 
Back
Top Bottom