Wakatoliki Tujifunze: Baadhi ya mavazi ya Askofu na maana yake

Mkuu upo vizur sana,mimi naomba kuliza mtu akifa anaenda wapi? Kwenye kanuni ya imani tunakili kuwa "atakuja tena kuwahukumu wazima na wafu" sasa hao wafu bado wapo makaburini,na ukisoma ufunuo,7:9-10,sasa hao ndo watakatifu walioishi vizur hapa duniani,ndio maana sielewi vizur wafu bado wapo makaburin au?
Naomba majibu mtumishi wa Mungu
 
Mkuu upo vizur sana,mimi naomba kuliza mtu akifa anaenda wapi? Kwenye kanuni ya imani tunakili kuwa "atakuja tena kuwahukumu wazima na wafu" sasa hao wafu bado wapo makaburini,na ukisoma ufunuo,7:9-10,sasa hao ndo watakatifu walioishi vizur hapa duniani,ndio maana sielewi vizur wafu bado wapo makaburin au?
Naomba majibu mtumishi wa Mungu
Tumsifu Yesu Kristu! Mkuu Aisatu!

Kwa Uelewa wangu Mdogo Katika ukatoliki na Ukristu kwa ujumla, Nimefundishwa pamoja na kusoma ya Kwamba.. Kinachokufa ni Mwili na sio Nafsi au Roho zetu, kwa maana hiyo zile roho za wafu zilizo safi zitaenda Peponi Moja kwa Moja.. Hii ni Moja!

Pili: Katika Kufa kuna watu hufa wakiwa hawana urafiki na Mungu au wakiwa na zile dhambi ndogo (kama tusemavyo wakatoliki), au wakiwa wamekufa wakiwa wametubu lakini hawajafanya Malipizo (ili waweze kupata Rehema Kamili(indulgence)), basi roho za wafu hawa huenda Toharani (Purgatory).. ndio maana tuna sala zile za kuwaombea marehemu wote ambao roho zao zinateseka toharani waweze kupata Huruma ya Kristu!

Basi Hawa wakisafishwa kwa Moto wanakuwa safi, na Kristu siku ya ufufuko anachokuja kufanya ni Kuunganisha hizi roho na Miili yao! (Kutokana na Muda Hafifu Nashindwa Kunukuu Katekisimu na Biblia)

Tatu: Kuna watu wanakufa labda hawajawa wakristu(wamebaki kuwa wapagani), kama wakatoliki hatusemi hawa wataenda Jehanam Moja kwa Moja, Bali kwa Mujibu wa MTAGUSO WA PILI WA VATIKANO Tunasema hawa Mungu atawahukumu kwa Kadri ya Matendo yao Waliyoyatenda siku za Uhai wao!

Wakatoliki Wenzangu Sky Eclat Da'Vinci SANCTUS ANACLETUS Mnaweza kuongezea Hapa!
 
mkuu hongera kwa nondo nzuri hizi.

nikuulize hivi baba au mama yako akifariki je askofu anaruhusiwa kwenda kuendesha ibada ya kumzika mama yake?

vvipi unazungumziaje juu ya wakatorikiwa nao endaga makaburini kuzungumzq na marehemu wapendwa wao je hii imekaaje kikanisa?
 
mkuu hongera kwa nondo nzuri hizi.

nikuulize hivi baba au mama yako akifariki je askofu anaruhusiwa kwenda kuendesha ibada ya kumzika mama yake?

vvipi unazungumziaje juu ya wakatorikiwa nao endaga makaburini kuzungumzq na marehemu wapendwa wao je hii imekaaje kikanisa?
Tumsifu Yesu Kristu Mkuu Me too
Canon laws (Jus Canonicum) Hazizuii Padre au Askofu kukuhani Misa ya Mazishi ya Mzazi wake, Kwa Mfano kuna Padre Mmoja Mfilipino Namfahamu Miaka ya Nyuma aliwahi kurudi Nchini kwao Ufilipino kukuhani Misa ya Mazishi ya Mama yake Mzazi!

Mkuu hiyo case ya Wakatoliki kwenda Makaburini kuzungumza na ndugu zao kwangu ni ngeni, Kwanza kikatoliki its highly Prohibited kuzungumza na Marehemu!
 
Yupo kwenye usista zaidi ya miaka 7, ni jirani yetu kabisaa, nyumba ya 3 kutoka kwetu.

Si tunashangaa kupata habari kaacha usista na kuamua kuolewa!!

Itakua jamaa alimuelewa sista tangu zaman
katika utawa kuna wito wa aina 3
1.walioitwa na Mungu
2.waliojiita wenyewe
3.Walioitwa na Shetani

Dada yetu alijiita!
 
Back
Top Bottom