ONYO - CHADEMA AIHUJUMIKI ! KAMA UMECHUKUA hela ya WATU RUDISHA ! VINGINEVYO UTAADHIRIKA VIBAYA SANA !
Usiogope, sema lakini semea mahali stahiki, na ni kwa hao nlokuambia. Kama ulifungwa kwa kuonewa, nenda kwa walio tofauti na serekali. Tafuta msaada, Haki za Binadamu. Usitishie watu na weye kuwa unajua kuchonga. Amka asubuhi, chonga sana ila chongea penyewe wala usipotee njia mchongo wako ukapotea tena.
Diallo amekupa sh ngapi ? Hela ya watu itakutokea puani ! Unafungwa miaka 3 halafu baada ya wiki 2 unapata msamaha wa rais , bahati ilioje !
- HA! HA1 HA! HA! HA! mbona mnaaanza kutoka mapovu kabla mwananchi hjasema lililotokea mnajua kumbe kilichotokea ha! ha!
Le Mutuz
Wenye kuamini ukweli wataamini ndio maana bado wanasubiri
Kama unatumika kwa vile kipindi cha uchaguzi ndani ya chama kimefika basi umepotea njia. Kumbuka humu JF watu walikutetea sana na hoja nyingi za kizushi kuwa ile haikuwa ajali bali ni mpango wa mauaji ulioandaliwa na Chadema.
Move yako na Dialo ndio imeanza ama tusubiri ingine?
Kuna thread ulishajibu kuhusu kifo cha Kamanda Chacha Wangwe.
Ndg. Kimbuka ndugu wa Chacha ni binadamu kama unamtumia marehemu ili kujijenga ama kupata pesa inawauma sana.
Why usitafute kick zingine?
Ok weka hiyo move CHADEMA ni mpango wa Mungu.
Sasa hapo ndio umeongea nini?
Kama ulikuwa hujajipanga si ungekaa kimya?!, au ndio wamekuambia uje kupima upepo JF?
Ok, tunasubiri.Tulia mkuu atasema tuu Leo ndio Leo!
Daaaah!
Siyo kila mtu hapa ni mwana siasa!
"Double jeopardy"inakataza kesi iliyokwisha kuamuriwa Mahakamani kurudishwa kwenye Mahakama ingine yyt ile!Alikuwa na nafasi kusema hayo anayotaka kusema siku hizo yupo Mahakamani sio sasa!
Huyu ni msanii tu hana jipya!!