engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Wana JF
Hebu tujiulize,wakati unavyokwenda kupiga kura ni vitu gani unavizingatia ili uweze kumchagua raisi ama mbunge wako?
1.je unazingatia vyama vilivyoshiriki ktk uchaguzi husika?
2.je unazingatia sera ya chama?
3.ama unazingatia mtu aliyegombea nafasi husika?
Hebu tujiulize,wakati unavyokwenda kupiga kura ni vitu gani unavizingatia ili uweze kumchagua raisi ama mbunge wako?
1.je unazingatia vyama vilivyoshiriki ktk uchaguzi husika?
2.je unazingatia sera ya chama?
3.ama unazingatia mtu aliyegombea nafasi husika?