Folks,
Imagine wewe ni mwana familia. Familia inalia njaa. umekaa unafikra nzuri kabisa juu ya jinsi gani mkate unaweza kupatikana, lakini pamoja na fikra hiyo nzuri umekaa tu huchukui hatua mpaka familia yote inateketea kwa njaa. Is your thinking any useful??
Wiki iliyopita Afisa Mipango wa wilaya ya kahama akiwasilisha revenues forecast kwa wilaya ya Kahama, alitanabaisha kuwa wanataraji kukusanya zaidi ya Billion 3 lakini CHAKUSHANGAZA alikaririwa akisema ZAO LA TUMBAKU ndilo linaloongoza kuchangia mapato kiasi cha mil 800+ huku migodi mikubwa miwili ya dhahabu ya Bulyankhuru na Buzwagi ikitarajiwa kuchangia dola laki 4 sawa na takribani mil 600+. HAYA JE SI MATUSI YA NGUONI KWA TAIFA???? HUKU SIO KULILAWITI TAIFA??? mwanangu wa miaka minne tu nimemsimulia hili haijamuingia akilini. How on earth, in a country with people claiming to be great thinkers is this allowed kwamba taifa linaendeshwa na tumbaku/TB pamoja na massive export ya GOLD??
Point yangu ni nini dhidi ya Jamii forums na makundi mengine kama hili. Yes we are great thinkers But our thinking must liberate this country. Hapa jamii yapasa sasa kuanzia sasa tuache kupost tu details bali tuje na mikakati ya kuhamasisha wananchi kulikomboa taifa. Hii migodi inahitaji movement ya kumobilise wananchi waivamie waifunge, watupe nje kila mzungu, tuweke ulinzi potelea mbali ulaya wakituwekea vikwazo tutatrade na China na URUSI........otherwise huu ni upuuzi na our thinking is not helping this nation.
Imagine wewe ni mwana familia. Familia inalia njaa. umekaa unafikra nzuri kabisa juu ya jinsi gani mkate unaweza kupatikana, lakini pamoja na fikra hiyo nzuri umekaa tu huchukui hatua mpaka familia yote inateketea kwa njaa. Is your thinking any useful??
Wiki iliyopita Afisa Mipango wa wilaya ya kahama akiwasilisha revenues forecast kwa wilaya ya Kahama, alitanabaisha kuwa wanataraji kukusanya zaidi ya Billion 3 lakini CHAKUSHANGAZA alikaririwa akisema ZAO LA TUMBAKU ndilo linaloongoza kuchangia mapato kiasi cha mil 800+ huku migodi mikubwa miwili ya dhahabu ya Bulyankhuru na Buzwagi ikitarajiwa kuchangia dola laki 4 sawa na takribani mil 600+. HAYA JE SI MATUSI YA NGUONI KWA TAIFA???? HUKU SIO KULILAWITI TAIFA??? mwanangu wa miaka minne tu nimemsimulia hili haijamuingia akilini. How on earth, in a country with people claiming to be great thinkers is this allowed kwamba taifa linaendeshwa na tumbaku/TB pamoja na massive export ya GOLD??
Point yangu ni nini dhidi ya Jamii forums na makundi mengine kama hili. Yes we are great thinkers But our thinking must liberate this country. Hapa jamii yapasa sasa kuanzia sasa tuache kupost tu details bali tuje na mikakati ya kuhamasisha wananchi kulikomboa taifa. Hii migodi inahitaji movement ya kumobilise wananchi waivamie waifunge, watupe nje kila mzungu, tuweke ulinzi potelea mbali ulaya wakituwekea vikwazo tutatrade na China na URUSI........otherwise huu ni upuuzi na our thinking is not helping this nation.