...Wakati nchi inalawitiwa

BMW

Member
Apr 4, 2012
15
22
Folks,


Imagine wewe ni mwana familia. Familia inalia njaa. umekaa unafikra nzuri kabisa juu ya jinsi gani mkate unaweza kupatikana, lakini pamoja na fikra hiyo nzuri umekaa tu huchukui hatua mpaka familia yote inateketea kwa njaa. Is your thinking any useful??

Wiki iliyopita Afisa Mipango wa wilaya ya kahama akiwasilisha revenues forecast kwa wilaya ya Kahama, alitanabaisha kuwa wanataraji kukusanya zaidi ya Billion 3 lakini CHAKUSHANGAZA alikaririwa akisema ZAO LA TUMBAKU ndilo linaloongoza kuchangia mapato kiasi cha mil 800+ huku migodi mikubwa miwili ya dhahabu ya Bulyankhuru na Buzwagi ikitarajiwa kuchangia dola laki 4 sawa na takribani mil 600+. HAYA JE SI MATUSI YA NGUONI KWA TAIFA???? HUKU SIO KULILAWITI TAIFA??? mwanangu wa miaka minne tu nimemsimulia hili haijamuingia akilini. How on earth, in a country with people claiming to be great thinkers is this allowed kwamba taifa linaendeshwa na tumbaku/TB pamoja na massive export ya GOLD??

Point yangu ni nini dhidi ya Jamii forums na makundi mengine kama hili. Yes we are great thinkers But our thinking must liberate this country. Hapa jamii yapasa sasa kuanzia sasa tuache kupost tu details bali tuje na mikakati ya kuhamasisha wananchi kulikomboa taifa. Hii migodi inahitaji movement ya kumobilise wananchi waivamie waifunge, watupe nje kila mzungu, tuweke ulinzi potelea mbali ulaya wakituwekea vikwazo tutatrade na China na URUSI........otherwise huu ni upuuzi na our thinking is not helping this nation.
 
Ukiwa na maana tuanzishe chama?au gazeti huru?au tuwapatie wananchi tabs au laptop na generator kijijini ili wate habari za kuwahamasisha??au kila atakayesoma uzi aingie mtaani kwa mapanga kule buzwagi?au au atakayesoma uzi hapa amwambie mwenzake kwamba wakutane ukumbifulani au??Mimi sijakuelewa kimsingi labda mimi ndo mvivu wakufikiri au?ngoja waje watakupa jibu.
 
Ukiwa na maana tuanzishe chama?au gazeti huru?au tuwapatie wananchi tabs au laptop na generator kijijini ili wate habari za kuwahamasisha??au kila atakayesoma uzi aingie mtaani kwa mapanga kule buzwagi?au au atakayesoma uzi hapa amwambie mwenzake kwamba wakutane ukumbifulani au??Mimi sijakuelewa kimsingi labda mimi ndo mvivu wakufikiri au?ngoja waje watakupa jibu.

KK
Majibu yote ni sawa Mkuu
 
Mku mwisho hapo umenena vizuri lakini mwanzo hapo maneno hayana nguo.

Lakini kumbuka pia kwamba mapato ya migodi yanatawaliwa na Central Government, hizo Halmashauri huwa wanapewa kiasi kidogo sana. Ikianzishwa serikali za majimbo ndipo kila jimbo (Local Government) zitakuwa zinaweza kulinda na kufaidika na mali zilizoko kwenye maeneo yao.
 
Mku mwisho hapo umenena vizuri lakini mwanzo hapo maneno hayana nguo.

Lakini kumbuka pia kwamba mapato ya migodi yanatawaliwa na Central Government, hizo Halmashauri huwa wanapewa kiasi kidogo sana. Ikianzishwa serikali za majimbo ndipo kila jimbo (Local Government) zitakuwa zinaweza kulinda na kufaidika na mali zilizoko kwenye maeneo yao.

Uko sahihi Kaka kwamba mapato yanatawaliwa na central Government lakini issue hapa ni kwamba kuna DISTRICT SERVICE LEVY ambayo inapaswa iwe 0.6% ya mapato yote ya kampuni ya mwaka........kwa ukubwa wa migodi hii inayozalisha trilions mil 600 ni utani uliokithiri
 
Wengine tushakataa hiyo self-patting, almost religiously feel-good induced patronising label ya "Great Thinkers".

The trouble with calling yourself a Great Thinker is that great thinkers seldom call themselves so. Ukimsoma Socrates aliyeitwa na oracle la Delphi "the wisest man alive", alipata tabu sana kuelewa oracle anamaanisha nini kwa maana yeye mwenyewe hakujiona kama mtu mwenye busara sana.

Ukimsoma huyo Yesu/ nabii Issa anakwambia wanaojikweza watashushwa, na wanaojishusha watakwezwa. Yeye mwenyewe kaingia Yerusalem huku kapanda punda badala ya farasi mweupe.

Ukimsoma Newton, wakati kila mtu anamu admire kwamba ni mwanasayansi aliyegundua formula za motion, yeye mwenyewe alisema hajui dunia inamuonaje, bali mwenyewe anajiona kama mtoto mdogo aliyesimama ufukweni na kuweza kukijua kijiwe kimoja, wakati bahari nzima inamsubiri.

The trouble with true great thinkers is that they are humbled by knowledge. The more you know, the more you know you don't know and would never dare call yourself a "Great Thinker".

Kwa hiyo, kwangu mimi at least, mtu mmoja anaweza kumuita mwingine "Great Thinker". Forum moja inaweza kuiita nyingine ya "Great Thinkers".

Lakini ukisikia mtu anajiita "Great Thinker" au forum inajiita hivyo ujue kazi bado sana. Hii habari ndiyo waswahili wanaiita "kujivika kilemba cha ukoka".

I don't know about you, but as for me I have declared myself a simpleton who not only doesn't know, but also doesn't even know that he doesn't know sometime ago.

Samahani nimetoka nje ya mada ya kati.

Kuhusu hiyo mada labda ni muda wa kujaribu decentralization kama wanavyotaka CHADEMA.
 
Ni katika muktadha upi nchi inalawitiwa? Hii nchi ni ya kiume ama ya kike? Na kwa nini usiseme nchi inabakwa? Kwani lazima kusema kama ulivyosema?
 
Ni katika muktadha upi nchi inalawitiwa? Hii nchi ni ya kiume ama ya kike? Na kwa nini usiseme nchi inabakwa? Kwani lazima kusema kama ulivyosema?

Anaweza kukwambia ingawa kubakwa ni kubaya, kulawitiwa kunaweza kuwa kubakwa kinyume na maumbile na kama unaelewa mfano wa kubakwa, basi anajaribu kukuonyesha mfano kwamba hali ni mbaya zaidi ya kubakwa.
 
Du...Punguza makali kidogo ya maneno.... Nchi kulaw....du?? Hii mupya.....

Maoni yangu ni kuwa tumependa wenyewe hii hali kwa kuendelea kukumbatia watawala wanaofanikisha huo mpango wa nchi kupigwa nanilihiii... 2015 haipo mbali ni wakati wa kuamka... tutumie kura zetu kwa busara.
 
Anaweza kukwambia ingawa kubakwa ni kubaya, kulawitiwa kunaweza kuwa kubakwa kinyume na maumbile na kama unaelewa mfano wa kubakwa, basi anajaribu kukuonyesha mfano kwamba hali ni mbaya zaidi ya kubakwa.

Kubakwa ni Bila Ridhaa yako, Ila kulawitiwa inaweza kuwa umeridhia Mwenyewe. Mtu anaweza kubakwa kwa kulawitiwa.
 
Neno zuri lenye kuunganisha kitendo cha kufanywa kwa nguvu ni KUNAJISIWA.

TANZANIAINANAJISIWA NA WAWEKEZAJI CHINI YA USIMAMIZI THABITI WA SERIKALI YA CCM
 
Folks,


Imagine wewe ni mwana familia. Familia inalia njaa. umekaa unafikra nzuri kabisa juu ya jinsi gani mkate unaweza kupatikana, lakini pamoja na fikra hiyo nzuri umekaa tu huchukui hatua mpaka familia yote inateketea kwa njaa. Is your thinking any useful??

Wiki iliyopita Afisa Mipango wa wilaya ya kahama akiwasilisha revenues forecast kwa wilaya ya Kahama, alitanabaisha kuwa wanataraji kukusanya zaidi ya Billion 3 lakini CHAKUSHANGAZA alikaririwa akisema ZAO LA TUMBAKU ndilo linaloongoza kuchangia mapato kiasi cha mil 800+ huku migodi mikubwa miwili ya dhahabu ya Bulyankhuru na Buzwagi ikitarajiwa kuchangia dola laki 4 sawa na takribani mil 600+. HAYA JE SI MATUSI YA NGUONI KWA TAIFA???? HUKU SIO KULILAWITI TAIFA??? mwanangu wa miaka minne tu nimemsimulia hili haijamuingia akilini. How on earth, in a country with people claiming to be great thinkers is this allowed kwamba taifa linaendeshwa na tumbaku/TB pamoja na massive export ya GOLD??

Point yangu ni nini dhidi ya Jamii forums na makundi mengine kama hili. Yes we are great thinkers But our thinking must liberate this country. Hapa jamii yapasa sasa kuanzia sasa tuache kupost tu details bali tuje na mikakati ya kuhamasisha wananchi kulikomboa taifa. Hii migodi inahitaji movement ya kumobilise wananchi waivamie waifunge, watupe nje kila mzungu, tuweke ulinzi potelea mbali ulaya wakituwekea vikwazo tutatrade na China na URUSI........otherwise huu ni upuuzi na our thinking is not helping this nation.

uta trade na China wakati China wana Trade na US na UK? you are really a simple minded thinker!
 
Wengine tushakataa hiyo self-patting, almost religiously feel-good induced patronising label ya "Great Thinkers".

The trouble with calling yourself a Great Thinker is that great thinkers seldom call themselves so. Ukimsoma Socrates aliyeitwa na oracle la Delphi "the wisest man alive", alipata tabu sana kuelewa oracle anamaanisha nini kwa maana yeye mwenyewe hakujiona kama mtu mwenye busara sana.

Ukimsoma huyo Yesu/ nabii Issa anakwambia wanaojikweza watashushwa, na wanaojishusha watakwezwa. Yeye mwenyewe kaingia Yerusalem huku kapanda punda badala ya farasi mweupe.

Ukimsoma Newton, wakati kila mtu anamu admire kwamba ni mwanasayansi aliyegundua formula za motion, yeye mwenyewe alisema hajui dunia inamuonaje, bali mwenyewe anajiona kama mtoto mdogo aliyesimama ufukweni na kuweza kukijua kijiwe kimoja, wakati bahari nzima inamsubiri.

The trouble with true great thinkers is that they are humbled by knowledge. The more you know, the more you know you don't know and would never dare call yourself a "Great Thinker".

Kwa hiyo, kwangu mimi at least, mtu mmoja anaweza kumuita mwingine "Great Thinker". Forum moja inaweza kuiita nyingine ya "Great Thinkers".

Lakini ukisikia mtu anajiita "Great Thinker" au forum inajiita hivyo ujue kazi bado sana. Hii habari ndiyo waswahili wanaiita "kujivika kilemba cha ukoka".

I don't know about you, but as for me I have declared myself a simpleton who not only doesn't know, but also doesn't even know that he doesn't know sometime ago.

Samahani nimetoka nje ya mada ya kati.

Kuhusu hiyo mada labda ni muda wa kujaribu decentralization kama wanavyotaka CHADEMA.

Sometime U talk things with lots of sense.
 
Folks,


Imagine wewe ni mwana familia. Familia inalia njaa. umekaa unafikra nzuri kabisa juu ya jinsi gani mkate unaweza kupatikana, lakini pamoja na fikra hiyo nzuri umekaa tu huchukui hatua mpaka familia yote inateketea kwa njaa. Is your thinking any useful??

Wiki iliyopita Afisa Mipango wa wilaya ya kahama akiwasilisha revenues forecast kwa wilaya ya Kahama, alitanabaisha kuwa wanataraji kukusanya zaidi ya Billion 3 lakini CHAKUSHANGAZA alikaririwa akisema ZAO LA TUMBAKU ndilo linaloongoza kuchangia mapato kiasi cha mil 800+ huku migodi mikubwa miwili ya dhahabu ya Bulyankhuru na Buzwagi ikitarajiwa kuchangia dola laki 4 sawa na takribani mil 600+. HAYA JE SI MATUSI YA NGUONI KWA TAIFA???? HUKU SIO KULILAWITI TAIFA??? mwanangu wa miaka minne tu nimemsimulia hili haijamuingia akilini. How on earth, in a country with people claiming to be great thinkers is this allowed kwamba taifa linaendeshwa na tumbaku/TB pamoja na massive export ya GOLD??

Point yangu ni nini dhidi ya Jamii forums na makundi mengine kama hili. Yes we are great thinkers But our thinking must liberate this country. Hapa jamii yapasa sasa kuanzia sasa tuache kupost tu details bali tuje na mikakati ya kuhamasisha wananchi kulikomboa taifa. Hii migodi inahitaji movement ya kumobilise wananchi waivamie waifunge, watupe nje kila mzungu, tuweke ulinzi potelea mbali ulaya wakituwekea vikwazo tutatrade na China na URUSI........otherwise huu ni upuuzi na our thinking is not helping this nation.
uko sawa muno jamani hamasisheni jamii zenu tukomboe taifa hili kama tunafikiri vizuri
 
Ni kweli tiafa limebakwa kama sio kulawitiwa. Lakini sio suala la kushika mapanga wala nini. Wenzako wameishaanza siku nyingi kuhamasisha umma na kuupa semina za ukombozi wa pili wa taifa. Jiunge na hamasisha wengine kujiunga kwa vitendo na M4C - ili ifikapo 2015 tuwaondoe madarakani wabakaji wa taifa hili.
 
Back
Top Bottom