Jamani kuna lundo la wachina wanajenga barabara ya iringa kwenda dodoma kupitia Mtera.
Ivi uhamiaji wote hawa mumewapitisha waje fanya kazi ata za watanzania wenzetu?mpaka kuendesha magreda jamani khaaa.
Alafu wengine ni kama under18 vile.
wachina hawana makuu! ... wa tz usikute barabara yenyewe mmetegenewa kwa bei ya msaada alafu unataka ulete masharti.. mchina ni mtu chep labor .. usikute mshahara wanaolipwa hao wafanyakazi M TZ ataona kama uonevu.. na analipwa kidogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.