Truth Matters
JF-Expert Member
- Apr 12, 2013
- 1,614
- 2,609
Wakuu,
Kuna mtu ameshawahi kumbwa na kadhia hii. Kuna watu wanavizia pale Msimbazi kituo cha mwendokasi, kwa kuwa kuna daladala zinapakia pale ukiwa na garin private lazima utachepuka kuingia njia ya mwendokasi hata nusu upite daladala na uendelee na safari.
Baada ya muda kuna mijamaa ipo kwenye pikipiki boxer, hawana uniform wako hovyo hovyo watakufuatilia ukisimama kwenye taa mbele wanakuambua umevunja sheria umepita njia ya mwendo kasi faini 550,000/=
Mwisho mta negotiate 'rushwa; wanakuchia..wana kitambulisho cha YONO, swali:
1. Hii ni operation halali wanayofanya hawa watu?
2. mbona ni kituo hiki tu?
3. kwa mazingira ya pale 'kosa hili' hufanywa na watu wengi..kuna mtu humu amekutana na hili?
4. Wahusika wenyewe wa operation hii ni hao hao kila siku why?
Mwongozo tafadhali
Kuna mtu ameshawahi kumbwa na kadhia hii. Kuna watu wanavizia pale Msimbazi kituo cha mwendokasi, kwa kuwa kuna daladala zinapakia pale ukiwa na garin private lazima utachepuka kuingia njia ya mwendokasi hata nusu upite daladala na uendelee na safari.
Baada ya muda kuna mijamaa ipo kwenye pikipiki boxer, hawana uniform wako hovyo hovyo watakufuatilia ukisimama kwenye taa mbele wanakuambua umevunja sheria umepita njia ya mwendo kasi faini 550,000/=
Mwisho mta negotiate 'rushwa; wanakuchia..wana kitambulisho cha YONO, swali:
1. Hii ni operation halali wanayofanya hawa watu?
2. mbona ni kituo hiki tu?
3. kwa mazingira ya pale 'kosa hili' hufanywa na watu wengi..kuna mtu humu amekutana na hili?
4. Wahusika wenyewe wa operation hii ni hao hao kila siku why?
Mwongozo tafadhali