G-Mdadisi
Senior Member
- Feb 15, 2018
- 157
- 99
Wajumbe wa Jimbo la konde wamepitisha jina la Shekha Mpemba Fakhi kwa kura 17 kuwania kiti cha ubunge kupitia Jimbo hilo kwa tiketi ya CCM na kuwazidi wapinzani wake wote 11. Nafasi hiyo imebaki wazi kufuatia kifo cha aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo, Khatibu Said Haji (ACT Wazalendo).
Kura zilizopigwa -65
Kura Halali -64
Abdallah Said Abdallah-07
Omary Seif-06
Shekha Mpemba Fakhi-17
Mbarouk Amour Habib-08
Masoud Ali Humud-02
Ismail Ali Juma-03
Abdi Mzee Kitwana-01
Zubeir Idd Hamis-01
Lulua Salim-13
Nassir Nassor-04
Hamad Hatib Saleh-00
Hamis Fakhi Sheame-02
Kura zilizopigwa -65
Kura Halali -64
Abdallah Said Abdallah-07
Omary Seif-06
Shekha Mpemba Fakhi-17
Mbarouk Amour Habib-08
Masoud Ali Humud-02
Ismail Ali Juma-03
Abdi Mzee Kitwana-01
Zubeir Idd Hamis-01
Lulua Salim-13
Nassir Nassor-04
Hamad Hatib Saleh-00
Hamis Fakhi Sheame-02