Falcon
JF-Expert Member
- Aug 16, 2010
- 245
- 68
Kuna wajumbe maalum walio tayarishwa kwa ajili ya kazi maalum ya kwenda Zanzibar na kuomba razi Mzee Hassan Nassor moyo, hii inatokana na kulifunuwa kombe badala ya kulifunika ili Mwana harasha apite yeye kalifunuwa na kuliwacha wazi, kufanya kwake hivyokumewaletea watu wengi wenye hata wale ubongo mzito nao kupata uwezo wa kufikiri.ijapokuwa kwa wenzetu wa mrima wengi wao bado akili zao zimeganda na falsafa za kambarage.