MUNYAMAKWA
Member
- Jun 15, 2012
- 59
- 5
Nimetembelea Mikoa hasa Wilaya zinazozalisha mpunga kwa wingi hapa nchini nikagundua kuna haja kubwa ya kutumia na kuziendeleza fursa ambazo hazijatumika ipafasavyo katika baadhi ya Wilaya hizi ikiwemo KILOMBERO .Mfano ,hatujaweza kugundua namna ya kubadali pumba za mpunga na kuziweka katika bidhaa nyingine kama vile chanzo mbadala cha nishati,malisho ya mifugo n.k.Kwa kufanya hivi tutakuwa tunaongeza vipato na kupunguza athari za uharibifu wa mazingira utokanao na mrundikano wa pumba hizi na pia kupunguzia wanachi utegemezi wa kuni kama chanzo kikuu cha nishati na kupunguzia wananchi kero kutokana na mrundikano wa taka hizi.SHIME WATANZANIA tulione hili(kilimo cha mpunga) kama fursa ,na sio kero .'HAKUNA LISILOWEZEKANA CHINI YA JUA'
SOURCE:MUNYAMAKWA
SOURCE:MUNYAMAKWA