Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,150
Wakati watanzania wakihangaika kujua nini kilichotokea kuhusu upumbavu uliofanyika kwenye fainali ya kagame
na umeme kukatwa wakati kombe likitolewa mh mnyika mbunge wa ubungo amefichua siri hiyo ambayo imepelekea mh waziri kudai kuunda stupid tume kama walivyozoe kutafuta sababu nini
hata hivyo wakati tume hiyo imetajwa aijakabidhiwa hata per diem mh mnyika amewaambia kilichofanyika ni ufisadi mtupu amekuwa akifwatilia na kuongea na baadhi ya wah wa tff na kuwaambia wao walichofanya walikaa kwenye kikao na wahusika wa uwanja ule kutoka wizaran..baaada ya hapo ikazuka swala la umeme kukatika wakaandikiana kutoa lita 800 ambazo mpaka mechi imebaki dk 10 azikuwapo uwanjani wakahisi zitaletwa kipindi cha dk 30 za nyongeza akuonekana hata mhusika mmoja wa wizara si wa uwanja na simu zao kuzimwa
mh mnyika ameenda mbali na kusema mh waziri anahusika na kashfa hii maana mmoja wa watu wake alikuwepo kwenye kikao cha pre match na hata uwanjani ila ilipomalizika dk 90 akamwacha wazirina kuondoka
alisema serikali kupitia wizara ya michezo inapaswa kutoa kauli ni kwa nini upuuzi huo utokee wakati fedha za mafuta zilitolewa na zimeenda wapi iwapo ayakuwepo hata kwenye uwanjan wakati wa mechi?? Alisema kukatika uwanja ni aibu kwa taifa na aibu kwa fifa kumbuka umati uliokuwepo pale wamelipa na iwapo umeme umekatika wabaya wanaweza sogea saa yoyoyte na kuleta uharibifu usiokuwa na maana
mh mwenyekiti mh waziri lazima aje aseme kama zile lita 800 za disele waligaiana wakina na nani na kama kuna mgao basi wabunge tukaribishwe kwenye pre match huku watu wakicheka.....
Kazi ipo hii ndio serikali ya kikweete na haya ni madogo ujaenda kwenye makaratasi yao ..mnamkumbuka cag alisema kuhusu wizara hii ./.....kwasababu waliosemwa akuna kilichofanyika basi nikae kimya
na umeme kukatwa wakati kombe likitolewa mh mnyika mbunge wa ubungo amefichua siri hiyo ambayo imepelekea mh waziri kudai kuunda stupid tume kama walivyozoe kutafuta sababu nini
hata hivyo wakati tume hiyo imetajwa aijakabidhiwa hata per diem mh mnyika amewaambia kilichofanyika ni ufisadi mtupu amekuwa akifwatilia na kuongea na baadhi ya wah wa tff na kuwaambia wao walichofanya walikaa kwenye kikao na wahusika wa uwanja ule kutoka wizaran..baaada ya hapo ikazuka swala la umeme kukatika wakaandikiana kutoa lita 800 ambazo mpaka mechi imebaki dk 10 azikuwapo uwanjani wakahisi zitaletwa kipindi cha dk 30 za nyongeza akuonekana hata mhusika mmoja wa wizara si wa uwanja na simu zao kuzimwa
mh mnyika ameenda mbali na kusema mh waziri anahusika na kashfa hii maana mmoja wa watu wake alikuwepo kwenye kikao cha pre match na hata uwanjani ila ilipomalizika dk 90 akamwacha wazirina kuondoka
alisema serikali kupitia wizara ya michezo inapaswa kutoa kauli ni kwa nini upuuzi huo utokee wakati fedha za mafuta zilitolewa na zimeenda wapi iwapo ayakuwepo hata kwenye uwanjan wakati wa mechi?? Alisema kukatika uwanja ni aibu kwa taifa na aibu kwa fifa kumbuka umati uliokuwepo pale wamelipa na iwapo umeme umekatika wabaya wanaweza sogea saa yoyoyte na kuleta uharibifu usiokuwa na maana
mh mwenyekiti mh waziri lazima aje aseme kama zile lita 800 za disele waligaiana wakina na nani na kama kuna mgao basi wabunge tukaribishwe kwenye pre match huku watu wakicheka.....
Kazi ipo hii ndio serikali ya kikweete na haya ni madogo ujaenda kwenye makaratasi yao ..mnamkumbuka cag alisema kuhusu wizara hii ./.....kwasababu waliosemwa akuna kilichofanyika basi nikae kimya