Waislamu wapigana msikitini

Status
Not open for further replies.


Hata hivyo, baada ya waumini wengi kujitokeza kutetea viongozi wa kamati ya msikiti waliowateua, viongozi wa Bakwata wa mkoa walilazimika kuomba msaada polisi ambao walifika na kuingia ndani ya msikiti huo kutuliza ghasia, kwa mujibu wa watu waliokuwepo kwenye eneo hilo.

Sasa hao askari walioingia msikitini, walivua buti zao?
 
Naaam ndugu yangu... hili ndio tatizo la watu wa kupandikiza.. ila mimi niajiuliza swali moja hawa jamaa "bakwata" wao ni waislamu au ni makafiri wanaojua kiarabu? maana kama wanaswali na kusoma Qur'an sijui kinachowafanya wawe hivyo.. au ndio uthibitisho wa kauli ya Mtume kuwa "wanafiki ni hatari kuliko makafiri"

Waislam zindukeni na muone namna nyerere alivyoivunja Jumuiya wa Waislam ya Afrika Mashariki na kupandikiza fitina hii bakwata.

Hii ni ile roho ya yule mwovu, nayo iko duniani tangu zamani sana! inayopanda magugu kwenye shamba la ngano. Inaingia ukiwa unajua au hujui kuwa unaitumikia. Yaani wewe katika imani yako kutofautina hakupo hadi kutoke kwa mtu wa nje na imani yako? eh, maajabu! hebu endeleeni kuongea tuzidi kuwafahamu zaidi. Sasa duniani koote somalia, Dafur nk mnakopigana wenyewe kwa wenyewe tena kwa mauaji ya kutisha ni nani nako kawafitinisha? Hebu tuambie baba, inaonekana dini yako mnakubali tuu kufitinishwa.
 
kila kukicha BAKWATA na Waumini ni ugomvi usio na mwisho!

Ndio maana mimi niliamua kuwa mpagani.

Hivi waislamu wanapotwangana kila kukicha misikitini huyo Allah wenu huwa anakuwa wapi kuwaamulia? Anafurahia waislamu wakitwangana wenyewe kwa wenyewe? Hawezi kuingia msikitini kuwaamulia hadi polisi waingie na virungu?

Iko siku mimi mpagani nitaingia humo msikitini mwenu na gongo langu hilo kwenye picha nililobeba niwatandike waislamu wanaopigana misikitini humo bila kujali kama ni BAKWATA au la halafu nimalizie kwa kumtandika marungu na mateke huyo Allah wenu na kumtandika rungu la kichwa kwa uzembe wa kuwaacha mnapigana bila kuwaamulia wafuasi wake.Shenzi type.
 
Sasa hao askari walioingia msikitini, walivua buti zao?

Opaque,
Wewe naona uko USA. Na huko umekaa hadi umejisahau kama wee ni Mtanzania ila bado ni Muislam. Hivi ukiwaka moto ndani ya msikiti, watu wa zima moto wavue kwanza viatu ndiyo waingie kuzima moto? Mtu akiugua ndani ya msikiti, Ma dr wavue kwanza viatu ndiyo waanze kusaidia mgonjwa? Ikiwezekana Waswali kabisa kama ni Waislaam.
Kuna kisa nilisia USA. Jamaa alikuwa anazama. Waokoaji wakafika na kumbeba na kumtoa majini. Jamaa baadaye akadai fidia kuwa yule muokoaji alimvamia tu bila kumwambia yeye ni nani. Hii ilimfanya apate shock.
POLISI kumbukeni mkienda kuokoa wanaopigana msikitini, vueni kwanza viatu, tafuteni POLISI waislaam tu, ikibidi waletwe kutoka Moshi na kama huko hawapo basi wakaazimwe kituo cha Kahe. Nafikiri hadi Polisi kutoka Kahe wakifika, jamaa watakujua wameshajua nani aende kwenye mashindano ya Olympic ya kurusha makonde. Je kuna VIDEO mtu alichukua? nataka kuona waumini hawa jinsi wanavyotembeza Mkono wakiwa ndani ya nyumba ya Mungu wanayoiheshimu na hata kukubali Mikono itembezwe.
 
Kuna mambo ya EPA hapo ,hatuchelewi kupata msamiati ,yaani sasa si ufisadi tena ,unatakiwa kufahamu moja kwa moja.
 

Kinacho fuata ni hawa jamaa wapenzi wa dini ya Waarabu kukatana vichwa kama ulivyo utamaduni wao.

Saidi Mwema kazi anayo, maana hao wote ni ndugu zake wa kiroho.

Tusubiri nchi itakapo jiunga na OIC, mapanga na kutoana roho itakuwa kitu cha kawaida. Wakimaliza kuwatoa roho unbelievers/Wakristo na Wayahudi , wanakwenda mahakama ya Kadhi na hakimu Shehe au Ustaadhi anatupa kesi nje.
 

Polisi wajitoa mgogoro wa msikiti Arusha
WAFADHILI WACHANGIA SH30M

Na Mussa Juma

Arusha

WAKATI jeshi likitangaza rasmi kujiondoa katika mgogoro baina ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) na waumini kugombea umiliki wa Msikiti Mkuu wa Arusha, wafadhili jana walijitolea Sh30 milioni ili kuufanyia ukarabati msikiti huo chini ya uongozi wa kamati mpya.

Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani Arusha, Robert Boaz aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa, baada ya kikao kilichochukua zaidi ya saa tano juzi baina ya pande mbili zenye mgogoro, wameamua kuwaachia viongozi wa Bakwata na waumini kumaliza tofauti zao.

"Baada ya kikao chetu kimsingi sisi tumejiondoa na tumewaachia wamalize mgogoro huo kwa kufuata Katiba ya Bakwata na taratibu zao za kidini kwani polisi hatuwezi kusimika viongozi wa msikiti,"alisema Boaz.

Kamanda huyo alisema kimsingi pande zote zimekubaliana kumaliza tofauti zao kwa kufuata katiba yao, ili kuimarisha amani na utulivu katika msikiti huo.

Kutokana na uamuzi huo, Kaimu Sheikh wa Mkoa wa Arusha, Abdurahman Salum aliahidi kwenda jijini Dar es Salaam kuonana na Sheikh Mkuu, Mufti Issa Shaaban Simba kabla ya kutoa uamuzi wa mwisho wa Bakwata keshokutwa.

Hata hivyo wakati maamuzi ya Mufti yakisubiriwa, kamati ya muda ya msikiti huo jana ilianza ukarabati mkubwa utakaogharimu Sh30 milioni wa msikiti baada ya wafadhili mbalimbali kutoa fedha hizo.

Katibu wa kamati mpya ya msikiti huo, Abdurkarimu Njonjo alisema jana kuwa katika ukarabati huo watachimba kisima kipya, kuongeza vyoo vya msikiti kutoka nane hadi 20 na kupanua eneo la kuchukuwa udhu kwa Waislamu.

"Mara baada ya waumini kupata taarifa ya sisi kuanza kazi rasmi, wamekubali kudhamini ukarabati huu mkubwa, ambao utatumia Sh30 milioni na ukarabati utakakwenda sambamba na kuweka uzio eneo la msikiti," alisema Njonjo.

Katibu huyo alisema katika kikao chao na Kamanda Boaz, wamekubaliana kushirikiana na kamati iliyoondolewa madarakani ili kumaliza mgogoro msikitini hapo.

"Ingawa ile kamati yao iliteuliwa na Bakwata mkoa kinyume cha katiba tangu mwaka 2003 na haijawahi kukutana, na kwamba kikatiba ilipaswa kukoma mwaka 2007, tumeamua kushirikiana nayo ili kumaliza mgogoro hapa," alisema Njonjo.

Katika kikao hicho na waandishi wa habari, katibu huyo pia alitangaza majina ya kamati mpya ya mpito ambayo itaongozwa na Mwenyekiti Abdulaziz Shaani, Katibu Njojo, Makamu Mwenyekiti Mohamed Humbali na wajumbe watano.

"Wajumbe hawa watano ni Abbas Hussein, Atolay Ally, Juma Malongo, Mohamed Sharifu na Iddy Seif na kamati ya wazee itakuwa na wajumbe watano ambao ni Hassan Marandu, Omar Self, Hussen Bakari, Abdalalah Said na Ahmed Dosi Dosi,"alisema Njonjo.

Jana waumini wa msikiti huo wakiongozwa na kamati hiyo walianza kazi ya kubadilisha mazulia yote ya msikiti huo na kusafisha maeneo mbalimbali ambayo hali yake ilikuwa mbaya.

Msikiti huo mkuu wa Arusha ndio ambao huswaliwa na viongozi wa kitaifa na kimataifa mkoani hapa, lakini umekuwa na migogoro ya muda mrefu kutokana na taarifa za mapato na matumizi kutowekwa wazi. Pia uongozi umekuwa hautambuliwi na waumini kwa miaka 17.

Hata hivyo, Bakwata mkoani Arusha ilionyesha nyaraka mbalimbali ikidai msikiti huo ni wa mkoa na ulikabidhiwa tangu mwaka 1972 na kuwa tangu mwaka 2003 kuna kamati ambayo iliidhinishwa na Mufti Shaaban Simba. Hata hivyo waumini wa msikiti huo wanapinga kamati hiyo na wameteuwa kamati yao.

Tuma maoni kwa Mhariri

Contact

 

Kinacho fuata ni hawa jamaa wapenzi wa dini ya Waarabu kukatana vichwa kama ulivyo utamaduni wao.

Saidi Mwema kazi anayo, maana hao wote ni ndugu zake wa kiroho.

Tusubiri nchi itakapo jiunga na OIC, mapanga na kutoana roho itakuwa kitu cha kawaida. Wakimaliza kuwatoa roho unbelievers/Wakristo na Wayahudi , wanakwenda mahakama ya Kadhi na hakimu Shehe au Ustaadhi anatupa kesi nje.


Mapanga na Majambia ni moja ya utamaduni wa Waislam.
 

Uislam kaaaazi kweli kweli, mara Shehe kashughulikia kavulana sasa wanatwangana na majambia.

 

uislam kaaaazi kweli kweli, mara shehe kashughulikia kavulana sasa wanatwangana na majambia.


!ukristo kaaaazi kweli kweli padri kashupalia ushoga sasa waumini wake wamechanganyikiwa sijui watafanyaje labda watasalimu amri!!
 
!ukristo kaaaazi kweli kweli padri kashupalia ushoga sasa waumini wake wamechanganyikiwa sijui watafanyaje labda watasalimu amri!!


Hivi akina ANTI MUDI NI MAPADRI AU MASHEHE? Unafikiri uanti waliupata bure, kaulize Mashehe wako, watakwambia maanti Mudi wametoka wapi.

 
!ukristo kaaaazi kweli kweli padri kashupalia ushoga sasa waumini wake wamechanganyikiwa sijui watafanyaje labda watasalimu amri!!


Wishful thoughts. Pole sana.

Uislam Kaaaazi kweli kweli. Anti Mudi, haha ahha haha hehe ehhe
 
Sasa hao askari walioingia msikitini, walivua buti zao?

Lazima wavae buti wakiingia msikitini kikazi.Sababu buti ni silaha ya kijeshi,kama ilivyo bunduki na mkanda wa suruali.Hivyo askari kuingia katika mapambano yawe msikitini au nje bila silaha ikiwemo buti ni makosa kijeshi.Ile buti si kiatu cha kutembelea askari ni silaha kamili kabisa.Ile ni silaha ilibidi lazima waingie nazo kama hawakuingia nazo ni kosa kijeshi.
 
Mada ilianza vizuri na baadaye inaanza kwa kulaumu watu wengine.
Waliopigana ni waislamu. Na Bakwata ni mali yao wenyewe. Viongozi wa Bakwata wanajichagulia waislamu wenyewe na si serikali. Kama hawaridhiki nao makosa ni yao wenyewe, wao ndio wamewachagua. Kama waliwachagua baada ya kupewa kitu kidogo au sania la pilau, basi wasibebeshe watu mizigo.
Ni kama vile sasa sisi tulivyoliwa hapa Tz je tumbebeshe nani mzigo?

Mkuu inatisha
 
Ndio maana mimi niliamua kuwa mpagani.

Hivi waislamu wanapotwangana kila kukicha misikitini huyo Allah wenu huwa anakuwa wapi kuwaamulia? Anafurahia waislamu wakitwangana wenyewe kwa wenyewe? Hawezi kuingia msikitini kuwaamulia hadi polisi waingie na virungu?

Iko siku mimi mpagani nitaingia humo msikitini mwenu na gongo langu hilo kwenye picha nililobeba niwatandike waislamu wanaopigana misikitini humo bila kujali kama ni BAKWATA au la halafu nimalizie kwa kumtandika marungu na mateke huyo Allah wenu na kumtandika rungu la kichwa kwa uzembe wa kuwaacha mnapigana bila kuwaamulia wafuasi wake.Shenzi type.

Ha ha kha kha ha kha kha ha
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom