Nyamtwee
New Member
- Nov 11, 2023
- 4
- 6
Ninasoma Kitabu hiki cha Mzee Mohamed Said kuhusu Waislam kutengwa katika Historia rasmi ya wapigania uhuru.
Hapa chini nimeweka nukuu kutoka kitabu cha Maisha ya Abdulwahid Sykes ambacho kinaeleza namna waislam walivyotengwa na historia ya Uhuru. Nukuu hii ikionyesha kuwa Aziz Ally na Kleist Sykes walikuwa ndio 'waafrika weusi' pekee waliokuwa na vibali vya Kunywa pombe.
Je, hawa ni Waislam kweli?
Hapa chini nimeweka nukuu kutoka kitabu cha Maisha ya Abdulwahid Sykes ambacho kinaeleza namna waislam walivyotengwa na historia ya Uhuru. Nukuu hii ikionyesha kuwa Aziz Ally na Kleist Sykes walikuwa ndio 'waafrika weusi' pekee waliokuwa na vibali vya Kunywa pombe.
Je, hawa ni Waislam kweli?