johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,137
Padre wa Orthodox church huko Bethlehem amesema miongoni mwa walioathirika na kufutwa Sherehe za Christmas ni Wapalestina wa Imani ya Islam
Amesema Wapalestina hao Ndio Wachongaji maarufu wa Vinyago na Sanamu mbalimbali za kihistoria ambazo hupendwa Sana na Watalii
Kufutwa Sherehe za Christmas kumepunguza Sana idadi ya Watalii
Source Al jazeera news
Amesema Wapalestina hao Ndio Wachongaji maarufu wa Vinyago na Sanamu mbalimbali za kihistoria ambazo hupendwa Sana na Watalii
Kufutwa Sherehe za Christmas kumepunguza Sana idadi ya Watalii
Source Al jazeera news