Wahenga hawakukosea, tamaa mbele mauti nyuma: Huyu boss wa Wagner alipewa tenda yote kulisha majeshi ya Urusi, bado hakutosheka!!

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Feb 17, 2015
13,664
18,044
Fikiria jamaa alikuwa anapata mabilioni mangapi kwa kupewa tenda ya kulisha majeshi yote ya Urusi!! Lakini bado akawa hajaridhika na kuwa na bifu na waziri wa ulinzi na mkuu wa majeshi wanaoidhinisha tenda yake!! Bila shaka alitamani yeye ndio awe top kwenye jeshi la Urusi!! Sasa atakula jeuri yake!!

On Tuesday, Russian President Vladimir Putin revealed that the Wagner Group was totally dependent on state financing, while Prigozhin himself had earned billions of rubles through catering contracts with the military.

Umepewa tenda ya kulisha jeshi lote na bado kampuni yako ya jeshi binafsi (Wagner) inagharimiwa kila kitu na unalipwa mabilioni pia, unataka nini zaidi ya hicho! Sasa amekabidhiwa mahame ya kambi moja ya kijeshi huko Balarus!! aweke mahema huko huku akiambiwa afikirie mwenyewe hatima yake na mipango yake ya baadaye!! Tamaa mbele mauti nyuma!!
 
Military contractor Yevgeny Prigozhin
Sasa kufumba na kufumbua anapoteza tenda mbili kubwa! Tenda ya kulisha majeshi ya Urusi na tenda ya kupigana sambamba na jeshi la urusi dhidi ya Ukraine!! Walipomwona kaanza kiburi wakaamua kumpunguzia makali kwa kuambiwa askari wake wawe chini ya amri ya jeshi moja kwa moja kwa kusaini mkataba! Akagoma!! Sasa wamemwambia hawahitaji tena huduma yake!!

“As you know, a few days before the attempted mutiny, the defence ministry said that all formations performing combat tasks must sign contracts with the defence ministry,” said Kartapolov.

“Everyone started to implement this decision … everyone except Mr Prigozhin.”

Kartapolov added that after Prigozhin’s refusal to sign the contracts, he had been told that his mercenaries would no longer fight in Ukraine and therefore would not receive state money.
 
SI anaanzisha jeshi la waasi tu anaingia kupambana na Putin
Apambane na Putin akitokea Belarus au? Ujue hana silaha za kwake!! Silaha zote alikuwa anapewa na Urusi chini ya mkataba wake!! Kila sehemu ilipo Wagner hupewa silaha na Urusi!! Kama hujawahi kusikia huko ndiko kuamua kulikata tawi ulilolikalia!! Likikatika na wewe unakatika!! Putin alishasema anaweza kusamehe makosa yote lakini si USALITI!! Msaliti ni mtu uliyemwamini na anakula chakula chako halafu anajiunga na maadui zako kukuchoma kisu cha mgongoni!!
 
Apambane na Putin akitokea Belarus au? Ujue hana silaha za kwake!! Silaha zote alikuwa anapewa na Urusi chini ya mkataba wake!! Kila sehemu ilipo Wagner hupewa silaha na Urusi!! Kama hujawahi kusikia huko ndiko kuamua kulikata tawi ulilolikalia!! Likikatika na wewe unakatika!! Putin alishasema anaweza kusamehe makosa yote lakini si USALITI!! Msaliti ni mtu uliyemwamini na anakula chakula chako halafu anajiunga na maadui zako kukuchoma kisu cha mgongoni!!
Mbona unaweka hoja kiwepesi hivyo?kama kweli yupo serious unadhani mahasimu wa Russia wanashindwa kumpa hizo silaha?jiulize waasi wa Congo wanapata wapi silaha?Haya mambo hayapo kiwepesi namna hiyo mkuu
 
Yap! Hili ni bomu hambalo litamlipukia Putin wakati wowote,
Na sijui ni Kwa nini ameshindwa kumueliminate kabisa

Huyu ameshakula nyama ya mtu, hawezi kuacha mpaka mauti yatakapomfika

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Yaani Hilo ni tatizo jipya Kwa Russia,mahasimu wake watamtumia huyo jamaa kumpa nguvu apambane na nchi,,,,imagine NATO na USA wakiamua kutumia Ile mbinu ya "Divide and rule"Kuna Nini tena hapo?
 
Yap! Hili ni bomu hambalo litamlipukia Putin wakati wowote,
Na sijui ni Kwa nini ameshindwa kumueliminate kabisa

Huyu ameshakula nyama ya mtu, hawezi kuacha mpaka mauti yatakapomfika

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Mkuu,huyu Prigo ataishi maisha ya wasiwasi tu,FSB wanam monitor kila movement yake kwasasa hivi,

Kifupi this guy is finished.
 
Mbona unaweka hoja kiwepesi hivyo?kama kweli yupo serious unadhani mahasimu wa Russia wanashindwa kumpa hizo silaha?jiulize waasi wa Congo wanapata wapi silaha?Haya mambo hayapo kiwepesi namna hiyo mkuu
Huyo Ukraine ambayo ni nchi kamili,amepewa silaha na Dunia nzima,so far amefanya nini? Prigo atakua monitored 24/7
 
Yap! Hili ni bomu hambalo litamlipukia Putin wakati wowote,
Na sijui ni Kwa nini ameshindwa kumueliminate kabisa

Huyu ameshakula nyama ya mtu, hawezi kuacha mpaka mauti yatakapomfika

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Kawekwa Belarus kimkakati!! Wako mbele yake sana kimkakati!! Hata huo uasi wake walikuwa wanaujua, ndio maana walishaanza kumbania kumpa silaha nyingi ili asiwe na ziada!! Hapo aliupo hakuwa na silaha za kumtosha hata kwa wiki moja!!
 
Back
Top Bottom