figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Makamu wa Rais Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na baadhi ya wananchi waliohifadhiwa katika Klabu ya timu ya Yanga ya Jijini Dar es Salaa.
Baadhi ya wananchi walio katika Kambi hiyo, wakifua nguo zao kambini hapo.
moja kati ya watoto waishio katika Kambi hiyo ya Klabu ya Yanga, akiwa ameuchapa usingizi.mia