Kakke
JF-Expert Member
- Dec 4, 2010
- 1,883
- 1,482
[h=2]Thursday, April 11, 2013[/h][h=3][/h]
Maelfu ya wahamiaji wamejitokeza kwa wingi kufanya maandamano leo Jumatano katika mjii mkuu wa Washington DC kutafuta kuungwa mkono kwa ajili ya kupata hati juu ya mageuzi ya uhamiaji kufanyika haraka iwezekanavyo.
Baadhi ya wanafunzi na mbali mbali wakiwa wameshika mabango yenye kuonyesha mabango yaliyo andikwa Justice and Dignity for all US Immigrants (Picha na swahilivilla.blogspot.com)
Wakati bipartisan Seneti ya Marekani jopo linalojulikana kama "Kikundi cha wajumbe wa Sanete" wapo katika kazi ya muswada wa kuweka mageuzi ya uhamiaji - ambayo baadhi ya wanachama wanatarajia kuwa tayari kwa ajili ya umma yatangaza haraka wiki hii - wahamiaji makundi ya haki ni ya maandalizi ya maelfu ya watu kuhamasisha katika mji mkuu wa taifa ili kuweka shinikizo juu ya Congress kupitisha muswada.
Maelfu ya wahamiajia wakiwa mbele ya Makao makuu ya Capitol Hill Jijini Washinton wakisikiliza mkutano juu wa sheria za uhamiaji siku ya Jumatano April 10,2013
Wahamiaji wa mataifa kutoka majimbo mbali mbali wakisikiliza mkutano mbele ya Capitol Hill Jijini Washinton DC
Maelfu ya wahamiaji wa mataifa mbali mbali waliohudhuria katika mjii mkuu wa Washington DC kwaajili ya kupigania haki na usawa kwa wahamiaji wote waliopo hapa Nchini Marekani
Mwana dada kutoka nchi ya Honduras akionyesha Sign inayosema America Say yes to Citizenship
Kina Mama kutoka All the way from New Jersey Original From Africa Senegal wakiwa katika mjii mkuu wa Washington DC kupigania mageuzi ya uhamiaji.
Wazee wa Jumuiya ya kiAfrika wanaojiita kwa jina la Bukina kutoka New Jersey wakiwa mbele ya mjengo wa Capitol Hill liliopo Washington DC
Maelfu ya wahamiaji kutoka Majimbo mbali mbali ya America wakielekea mbelee ya jengo la Capitol Hill liliopo Washington DC
Chief wa swahilivilla awakilisha Tanzania na kuwatakia watanzania wote wanaoishi hapa Marekani wawe na uvumilivu na kuendelea kuchapa kazi kama hawaida madhali mnalipa tex kitaeleweka tu.
Vile vile na ndugu zetu waTanzania mliopo nyumbani tunawaomba mtuunge mkono juu ya swala la raia wa nchi mbili kama ndugu zetu wa Kenya ili mzidi kuneemeka na neema tunazozichuma ughaibuni tunaomba ipitishwe kwa faida yetu waTanzania wote kwa ujumla.
Posted byAbdul Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to Facebook
[h=4]No comments:[/h]
[h=4]Post a Comment[/h]
Newer PostOlder PostHome
Maelfu ya wahamiaji wamejitokeza kwa wingi kufanya maandamano leo Jumatano katika mjii mkuu wa Washington DC kutafuta kuungwa mkono kwa ajili ya kupata hati juu ya mageuzi ya uhamiaji kufanyika haraka iwezekanavyo.
Baadhi ya wanafunzi na mbali mbali wakiwa wameshika mabango yenye kuonyesha mabango yaliyo andikwa Justice and Dignity for all US Immigrants (Picha na swahilivilla.blogspot.com)
Wakati bipartisan Seneti ya Marekani jopo linalojulikana kama "Kikundi cha wajumbe wa Sanete" wapo katika kazi ya muswada wa kuweka mageuzi ya uhamiaji - ambayo baadhi ya wanachama wanatarajia kuwa tayari kwa ajili ya umma yatangaza haraka wiki hii - wahamiaji makundi ya haki ni ya maandalizi ya maelfu ya watu kuhamasisha katika mji mkuu wa taifa ili kuweka shinikizo juu ya Congress kupitisha muswada.
Maelfu ya wahamiajia wakiwa mbele ya Makao makuu ya Capitol Hill Jijini Washinton wakisikiliza mkutano juu wa sheria za uhamiaji siku ya Jumatano April 10,2013
Wahamiaji wa mataifa kutoka majimbo mbali mbali wakisikiliza mkutano mbele ya Capitol Hill Jijini Washinton DC
Mwana dada kutoka nchi ya Honduras akionyesha Sign inayosema America Say yes to Citizenship
Kina Mama kutoka All the way from New Jersey Original From Africa Senegal wakiwa katika mjii mkuu wa Washington DC kupigania mageuzi ya uhamiaji.
Wazee wa Jumuiya ya kiAfrika wanaojiita kwa jina la Bukina kutoka New Jersey wakiwa mbele ya mjengo wa Capitol Hill liliopo Washington DC
Maelfu ya wahamiaji kutoka Majimbo mbali mbali ya America wakielekea mbelee ya jengo la Capitol Hill liliopo Washington DC
Chief wa swahilivilla awakilisha Tanzania na kuwatakia watanzania wote wanaoishi hapa Marekani wawe na uvumilivu na kuendelea kuchapa kazi kama hawaida madhali mnalipa tex kitaeleweka tu.
Vile vile na ndugu zetu waTanzania mliopo nyumbani tunawaomba mtuunge mkono juu ya swala la raia wa nchi mbili kama ndugu zetu wa Kenya ili mzidi kuneemeka na neema tunazozichuma ughaibuni tunaomba ipitishwe kwa faida yetu waTanzania wote kwa ujumla.
Posted byAbdul Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to Facebook
Reactions: |
[h=4]No comments:[/h]
[h=4]Post a Comment[/h]
Newer PostOlder PostHome