High Vampire
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 2,915
- 2,086
wageni wengine noma mwenyeji:utakunywa nini? soda au chai mgeni nitakunywa soda wakati nikisubili chai ichemuke!mwenyeji:hapa kuna sprite na coca nikupe ipi?mgeni:nipe coca ,sprite niwekee kwenye friji iendelee kupoa. mwenyeji:nikupe mkate au maandazi?mgeni:nipe maandazi kwanza mkate nitakula na chai ikichemuka.jioni ilipofika mwenyeji:nikuandalie chipsi mayai au kuku?mgeni:niandalie chipsi kuku kwanza,mayai naomba uchemshe10 ili nishushie na ile sprite