Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,729
- 29,969
Ahadi za kupandishwa mishahara halafu kunafuatiwa mlolongo mreefu wa kiwango gani kipande, huku kila msimu wa Bunge viongozi wakijilimbikizia mafao ya kustaafu hiyo si sahihi.
Haya sasa, sheria imepitishwa Bungeni kuwa wenza wa viongozi wastaafu watalipwa mafao, ni wazi HAZINA ipo pesa ya kutosha.
Kikokotoo kimewekwa dhidi ya wavuja jasho wa nchi hii huku wala jasho la wafanyakazi hawahusiki na kikokotoo.
Kadi zenu za Kura ziwakomboe kutoka hili janga la kujitakia lililoasisiwa na CCM.
Uchaguzi mwakani, watawaongezea mshahara kiduchu ili kuwahadaa. Hakuna jipya bali ni hadaa tu.
Haya sasa, sheria imepitishwa Bungeni kuwa wenza wa viongozi wastaafu watalipwa mafao, ni wazi HAZINA ipo pesa ya kutosha.
Kikokotoo kimewekwa dhidi ya wavuja jasho wa nchi hii huku wala jasho la wafanyakazi hawahusiki na kikokotoo.
Kadi zenu za Kura ziwakomboe kutoka hili janga la kujitakia lililoasisiwa na CCM.
Uchaguzi mwakani, watawaongezea mshahara kiduchu ili kuwahadaa. Hakuna jipya bali ni hadaa tu.