Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,606
- 29,755
Nimefanikiwa kutembelea Bunge letu hivi karibuni wakati vikao vinaendelea.
Nilikuwa na issue ya kiofisi, niwaambie Watanzania wenzangu. Ofisi za Bunge la Tanzania ni mfano wa kuigwa kwa ofisi zote za Umma nchini.
Kuanzia mapokezi hadi huduma unazopewa pale unapata uthubutu wa kujivunia Bunge letu. Inawezekana wawakilishi wetu wakawa siyo competent lakini wale wafanyakazi loh ni kaliba nyingine.
Hawana ukiritimba, hata kama ukikosea utaratibu wanakuelewesha in friendly and respective manner. Usalama wako na mali yako upo guaranteed 100%.
Ukiambiwa njoo kesho, hakika kesho jambo lako linakuwa tayari. Trust me, Bungeni hakuna ukiritimba tuliozoea kuuona maeneo mengine
uongozi na wafanyakazi wote wa Bunge chukueni 🌺🌺maua🌺🌺 yenu 🌷walah🌷
Nilikuwa na issue ya kiofisi, niwaambie Watanzania wenzangu. Ofisi za Bunge la Tanzania ni mfano wa kuigwa kwa ofisi zote za Umma nchini.
Kuanzia mapokezi hadi huduma unazopewa pale unapata uthubutu wa kujivunia Bunge letu. Inawezekana wawakilishi wetu wakawa siyo competent lakini wale wafanyakazi loh ni kaliba nyingine.
Hawana ukiritimba, hata kama ukikosea utaratibu wanakuelewesha in friendly and respective manner. Usalama wako na mali yako upo guaranteed 100%.
Ukiambiwa njoo kesho, hakika kesho jambo lako linakuwa tayari. Trust me, Bungeni hakuna ukiritimba tuliozoea kuuona maeneo mengine
uongozi na wafanyakazi wote wa Bunge chukueni 🌺🌺maua🌺🌺 yenu 🌷walah🌷