Wafahamu Wanefili (majitu makubwa) walioitesa dunia hadi Mungu akaamua kuwaangamiza

hqdefault.jpg
 
Na Chakula cha kuwalisha wanyama waliokuwa kwenye safina katika kipindi chote cha gharika kilitoka wapi? Au nani aliyekuwa anawahudumia ikiwemo kusafisha kinyesi chao?
Mambo ya rohoni wanayoyajua lazima wawe na UMUNGU ndani yao sio kwa akili za kimwili Kama zako kaka.ukisoma biblia bila kuongozwa na roho mtakatifu ni Kama unasoma hadithi za shigongo.
 
Hivi Kwanini Wanyama wote Waliangamizwa kasoro samaki wa majini?
au samaki ndio watakatifu sana kuliko Twiga?
ukumbuke kuwa mungu aliangamiza dunia kupitia maji na samaki anaishi majini kwhyo samaki hakuwa na budi kutolewa majini kwakuwa dunia iliangamizwa kupitia maji
 
ukumbuke kuwa mungu aliangamiza dunia kupitia maji na samaki anaishi majini kwhyo samaki hakuwa na budi kutolewa majini kwakuwa dunia iliangamizwa kupitia maji
Aseeee.... Kwa hiyo Nuhu alianzisha mabwawa ya SAMAKI kwenye meli... Kufuga papa. Nyangumi eti mkuu!!!!
 
Na Chakula cha kuwalisha wanyama waliokuwa kwenye safina katika kipindi chote cha gharika kilitoka wapi? Au nani aliyekuwa anawahudumia ikiwemo kusafisha kinyesi chao?
hebu kasome bible mwanzo na quruan hadithi za mtume kuhusu uumbaji theni uje uniulize maswali nami ntakujibu ipasavyo kulingana na uelewa wangu
 
Kasome topic ya evolution of human ni katopic kanasomwa na wanafunzi Wa form 3 biology
Hapo tu, tunaletewa story za akina abunuwasi bila woga wala huruma, sijui kina Lebron James, Shaquille O'Neal, Gheorghe Mureșan,Shawn Bradley, Manute Bol, Yao Ming,Chuck Nevitt, Pavel Podkolzin, Slavko Vraneš, Mark Eaton,Rik Smits, Ralph Lee Sampson,Priest Lauderdale, sasa hawa sijuwi nao tuwaite wanafeli?! Elimu kitu muhimu sana aise..
 
Ukisoma biblia kwenye kitabu cha mwanzo cha musa,(mwanzo 6....) na kuendelea ndo taharifa zao zipo, malaika waliona binti za watu wakioga mtoni, wakawatamani kisha wakavaa mwili wa ubinadamu na Kuja kufanya nao mapenzi. Hapo sasa ndo walipoanzia. Hata gharika lilipoisha inaelekea walibaki, tazama goliati, kisha anagalia kitabu cha waamuzi (joshua), watu walitumwa wakaichunguze nchi ya maziwa na asali (nchi ya ahadi),baada ya kuchunguza walisema waliona watu wakubwa sana kiasi kwamba wao walionekana kama sisimizi. Inaelekea watu hao hao ndiyo waliyojenga "pyramids". Mpaka Leo hakuna nchi iliyoweza kujenga "pyramids" tena tuna tenlojia ya hali ya juu tofauti na zamani. Nahisi Kuna baadhi ya nchi ukienda makumbusho utakuta mifupa yao. Kwa kweli kizazi kile hakikuwa cha kawaida. Na wale malaika waliosababisha hilo, walitupwa katika giza la milele.
 
Ukimchukua Hashim Thabit ukamuweka na Kichuya... Utasema Hashim Thabit ni Mnefili eti mkuu!!!!
katika QURUAN HADITHI ZA MTUME Adamu alikuwa mrefu kama mnazi,nywele nyingi kichwani
Enzi za NUHU kulikuwa na mtu mrefu,maji ya mafuriko yalimfikia kiunoni,akina AD walikuwa majitu makubwa zaidi ulimwenguni
huyo Thabiti wako siyo Jitu ni mtu
 
Back
Top Bottom