Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,150
Wale waheshimiwa wanaotoa misaaada kwa serikali yetu wametangaza
kusitisha kutoa fedha mpaka watakapotaka kujua swala la epa linaisha lini
wamesema wamechoka naupuuzi wa nenda rudi wa wahusika wa epa kwenda mahakamaani
nakurudishwa wakati wanajulikana na ushahdi wanao wenyewe
wakiwa na hasira wameomba serikali kuwafikisha mahakamani na kesi kujulikana mapema ama
waachiwe ama lah amechoka swala la kusikia wanapelekwa mahakamani na kuachiwa
wakati kuna watu wawiwli tu wamefungwa je ni hao ndio wahusika waku wa epa??
Macho uone
kusitisha kutoa fedha mpaka watakapotaka kujua swala la epa linaisha lini
wamesema wamechoka naupuuzi wa nenda rudi wa wahusika wa epa kwenda mahakamaani
nakurudishwa wakati wanajulikana na ushahdi wanao wenyewe
wakiwa na hasira wameomba serikali kuwafikisha mahakamani na kesi kujulikana mapema ama
waachiwe ama lah amechoka swala la kusikia wanapelekwa mahakamani na kuachiwa
wakati kuna watu wawiwli tu wamefungwa je ni hao ndio wahusika waku wa epa??
Macho uone