Hope mmekuwa na j2 njema
Wadau niko kwenye ndoa mwaka wa tano sasa. Hatujabahatika kupata mtoto na wife. Katika hili sijaona shida kubwa kozi tunamwamini Mungu, tunaimani siku moja tutapakata mtoto.
Shida yangu iliyopelekea kutaka maoni yenu ni kwamba, kwa mda sasa mke wangu amepoteza kabisa kuniamini.
Tukiwa outing au ata church nikimsalimu mwanamke yeyote ujue case hiyo itaisha baada ya mwezi.
Ameanzisha tabia ya kuperuzi cm yangu sana. Ata ni add jina jipya... Lazima ntaambiwa huyu ni nani... Nisiposema ugomvi unazuka. Baadae atachukua cm na atatumia huduma za mpesa au tigo pesa kujilizisha jina la mhusika.
Kazini kwangu kaniwekea ma-spy .yote niliyofanya job, nakuta ana taarifa A-Z
Hata hivyo, naomba kukiri , amewahi kukuta chatting ambazo zimejaa matani ya chumbani sana....kwa nyakati tofauti na baadhi ya marafiki zangu au wafanyakazi wenzangu wa kike.
Kwa kweli maisha haya naona yamekuwa kama kitanzi. Uhuru umekosekana, japo ni mke ila kama binadamu nafikiri nahitaji private fulani hivi.
Wadau plz Naombeni uzoefu wenu wa kudili na hali kama hii... Coz nahisi kusafocate wakuu.
Wadau niko kwenye ndoa mwaka wa tano sasa. Hatujabahatika kupata mtoto na wife. Katika hili sijaona shida kubwa kozi tunamwamini Mungu, tunaimani siku moja tutapakata mtoto.
Shida yangu iliyopelekea kutaka maoni yenu ni kwamba, kwa mda sasa mke wangu amepoteza kabisa kuniamini.
Tukiwa outing au ata church nikimsalimu mwanamke yeyote ujue case hiyo itaisha baada ya mwezi.
Ameanzisha tabia ya kuperuzi cm yangu sana. Ata ni add jina jipya... Lazima ntaambiwa huyu ni nani... Nisiposema ugomvi unazuka. Baadae atachukua cm na atatumia huduma za mpesa au tigo pesa kujilizisha jina la mhusika.
Kazini kwangu kaniwekea ma-spy .yote niliyofanya job, nakuta ana taarifa A-Z
Hata hivyo, naomba kukiri , amewahi kukuta chatting ambazo zimejaa matani ya chumbani sana....kwa nyakati tofauti na baadhi ya marafiki zangu au wafanyakazi wenzangu wa kike.
Kwa kweli maisha haya naona yamekuwa kama kitanzi. Uhuru umekosekana, japo ni mke ila kama binadamu nafikiri nahitaji private fulani hivi.
Wadau plz Naombeni uzoefu wenu wa kudili na hali kama hii... Coz nahisi kusafocate wakuu.