Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 481
Hii nimeipenda! Da yaani watoto huko Ntwara sehemu za Tandahimba wako hatarini kuambukizwa virusi vya ukimwi kutokana na mangariba wnaowatahiri kudaiwa kutumia kucha zao kama zana za kutahiria.
Source: Gazeti la Mwananchi toleo la leo.
Mi naomba kuuliza, hizo kucha ni za aina gani? Yaani hunolewa ama wanamenya tu. Kama kweli basi wamasai wanatairiwa kwa starehe zaidi.
Source: Gazeti la Mwananchi toleo la leo.
Mi naomba kuuliza, hizo kucha ni za aina gani? Yaani hunolewa ama wanamenya tu. Kama kweli basi wamasai wanatairiwa kwa starehe zaidi.