cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,825
- 137,543
Hapo sasa, yaan wabongo wana abudu ngono km kula, usipojihusisha nayo lazima waanze minong'ono.Ngono ni hobby kwani huwezi ishi bila ngono
Hapo sasa, yaan wabongo wana abudu ngono km kula, usipojihusisha nayo lazima waanze minong'ono.Ngono ni hobby kwani huwezi ishi bila ngono
Najma kaolewa, ndoa yake ilifana balaa.Si tulikubaliana dadaz ni ya mahousegirl
kwaio Angel Benard alizaa na Nick, kisha akaolewa na mtu mwingine, na saizi ana ndoa nyingine ya tatu huko marekani?Huyo mume alikuwa na uhusiano na Angel benard na wamezaa mtoto mkubwa
Ndipo kuolewa mchungaji Rose
Mie sioni ubaya wa Rose sema muhimu akili kumkichwa anashauri watu wasikimbilie ndoa wajiandae kiakili na kila kitu maana ndoa ni kujikana kuvumiliana sio rahisi bora utafute mtu kwa kuchelewa ila muemdane kuliko kukurupuka ukakimbia
Watasema una matatizo mara sijui huwezi kuwa sawa.upuuzi mtupu.zile jamii zisizoshiriki ngono mbona zipo vizuri tuHapo sasa, yaan wabongo wana abudu ngono km kula, usipojihusisha nayo lazima waanze minong'ono.
KivipiNi kweli kikatiba sio kosa, kibiblia sio kosa.
shida iko kibaiolojia!
Huyo mume alikuwa na uhusiano na Angel benard na wamezaa mtoto mkubwa
Ndipo kuolewa mchungaji Rose
Mie sioni ubaya wa Rose sema muhimu akili kumkichwa anashauri watu wasikimbilie ndoa wajiandae kiakili na kila kitu maana ndoa ni kujikana kuvumiliana sio rahisi bora utafute mtu kwa kuchelewa ila muemdane kuliko kukurupuka ukakimbia
Chaga woman yulemimi yule kiria namwitaga ni shetani yezebeli kabisa, kwanza kitendo cha kukiri kwamba aliishi na yule dj miaka 8 akimbania asimzalie watoto, na kwamba aliolewa naye baada ya kupata shida ya kipesa hivyo hakumpenda ila alifuata pesa, na alipomsumbua sana akamaua kuachana naye kwa kukodi magari toka magomeni kuelekea kinondoni kuchukua talaka, nilimwona shetani kabisa. ameadanganya wanawake wengi sana, ila KIleo ndio hakuwa mjinga, alimzaba vibao na matukio juu. huyo zumbukuku ameokota UK ndio sijui naye ...., niishie hapo.
Jmn kumbe watu wana mambo makubwa hayaaa... Sema mume mwenyewe anaoneka ana mambo mengi tuHuyo mume alikuwa na uhusiano na Angel benard na wamezaa mtoto mkubwa
Ndipo kuolewa mchungaji Rose
Mie sioni ubaya wa Rose sema muhimu akili kumkichwa anashauri watu wasikimbilie ndoa wajiandae kiakili na kila kitu maana ndoa ni kujikana kuvumiliana sio rahisi bora utafute mtu kwa kuchelewa ila muemdane kuliko kukurupuka ukakimbia
Ngono (mapenzi,tendo)muhimu sana usiniulize kwa Nini ila mi naona ni muhimu sana kwa afya ya mwili akili na nafsiHapo sasa, yaan wabongo wana abudu ngono km kula, usipojihusisha nayo lazima waanze minong'ono.
Faiza styleSingo maza watakuja na povu.... yani wao kila jambo matatizo dah.!
Huu ni wivu uliopitiliza. Au ndiye uliyeporwa mchumba akaolewa Rose?Kuna mchungaji anajiita Rose shaboka.
Nadhani Kuna mahubiri yake ya hivi Karibuni amekuwa akihamasisha wanawake waendelee kuwa singo na wala wasiwe na haraka ya kukimbilia ndoa.
Ilhali yeye mwenyewe ana ndoa yake tena ameipata kwa kuipambania kutoka kwa msanii wa nyimbo za injili angel Bernard.
Kwanza ndoa yake imekuwa ya migogoro sana mara zote mume wake amekuwa mtu wa kumpiga matukio ila akiwa madhabahuni kama hakuna kinachoendelea.
Wadada kuweni makini na wachungaji wenu.
Ndoa sio maigizo.
Anapenda UNFEMININE huyu dada.
Simsemi kwa ubaya.
Pale Dadaz kuna mmoja kaolewa na ndoa juu,
Bora usemee weeWatasema una matatizo mara sijui huwezi kuwa sawa.upuuzi mtupu.zile jamii zisizoshiriki ngono mbona zipo vizuri tu
Ni muhimu ila sio lazima, unaweza kuwa muhimu kwako wee na wala sio kwa mwenzio.Ngono (mapenzi,tendo)muhimu sana usiniulize kwa Nini ila mi naona ni muhimu sana kwa afya ya mwili akili na nafsi