M-bongotz
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,734
- 405
Thread hii inatokana na thread ya FL1 kuhusu kina dada wa Nigeria wanaotamba katika movies huko kwao.
Hebu tujadili kuhusu waigizaji wa kike wa Tanzania wanaotamba katika filamu za hapa nyumbani, tukingalia uwezo wao wa uigizaji, elimu, heshima waliojijengea kwenye jamii na mafanikio kwa ujumla ukifananisha na wenzano wa Nigeria.,tetesi, udaku vinaruhusiwa pia.,kwa kuanzia tu tunao baadhi ya waigizaji kama:
Johari
Auntie Ezekiel
Irene Uwoya
Mainda
Maya
Wema Sepetu
Tea
............... n.k
Hebu tujadili kuhusu waigizaji wa kike wa Tanzania wanaotamba katika filamu za hapa nyumbani, tukingalia uwezo wao wa uigizaji, elimu, heshima waliojijengea kwenye jamii na mafanikio kwa ujumla ukifananisha na wenzano wa Nigeria.,tetesi, udaku vinaruhusiwa pia.,kwa kuanzia tu tunao baadhi ya waigizaji kama:
Johari
Auntie Ezekiel
Irene Uwoya
Mainda
Maya
Wema Sepetu
Tea
............... n.k