Bill JF-Expert Member Oct 5, 2007 8,280 8,495 May 5, 2010 #3 Ni PM kisha nitakupa namba yangu ya M -Pesa utanitumia 8,000 tu nikuagizie. Unaweza ukaagiza mingi kadri unavyoweza
Ni PM kisha nitakupa namba yangu ya M -Pesa utanitumia 8,000 tu nikuagizie. Unaweza ukaagiza mingi kadri unavyoweza
Preta JF-Expert Member Nov 28, 2009 24,323 18,793 May 5, 2010 #4 sasa kabla sijakiagiza, wakati nimekifanya pochi mvua ikaja ghafla (unajua tena mambo ya mvua) hivyo vitu ndani ya pochi navipeleka wapi?
sasa kabla sijakiagiza, wakati nimekifanya pochi mvua ikaja ghafla (unajua tena mambo ya mvua) hivyo vitu ndani ya pochi navipeleka wapi?
Mama Brian JF-Expert Member Feb 7, 2010 320 21 May 5, 2010 #5 Teh teh teh, umeniacha hoi sana Bill! ila ni mwavuli mzuri wenye multiple use.
Preta JF-Expert Member Nov 28, 2009 24,323 18,793 May 5, 2010 #7 Maria Roza said: kwa sie wanene itakuwaje?? Click to expand... kwani wewe ni mnene sana?...well isikupe tabu si unajua wadada tukishajifunika nywele inatosha
Maria Roza said: kwa sie wanene itakuwaje?? Click to expand... kwani wewe ni mnene sana?...well isikupe tabu si unajua wadada tukishajifunika nywele inatosha