wachumi,hii ni haki kweli?

Nov 24, 2010
54
3
kwa muda mrefu ss mm pamoja na wachumi wnaharakati wenzangu wa chuo cha kumbukumbu ya mwl nyerere(mwl nyerere memorial academy) tumekuwa tukifuatilia kuanzishwa kwa jukwaa la wachumi(economics forum) hapa chuoni kwetu.jukwaa ambalo litatupa mwanya wa kujadili mambo mbalimbali ya uchumi kiuhalisia zaidi ya tunayoyasoma vitabuni darasani.lakini cha kushangaza chuo kimekuwa kioga sana kutoa kibali hicho.katiba na kila kinachohusika walituagiza tukakamilisha lakini wapi!bado wanasita.hatuna lengo baya ni kitaaluma tu kama vyuo vingine wanavyofanya lakini hapa kwetu imekuwa ngumu jamani.hii ni sahihi kweli jamani?tusaidieni mawazo wachumi wenzetu
 
kwa muda mrefu ss mm pamoja na wachumi wnaharakati wenzangu wa chuo cha kumbukumbu ya mwl nyerere(mwl nyerere memorial academy) tumekuwa tukifuatilia kuanzishwa kwa jukwaa la wachumi(economics forum) hapa chuoni kwetu.jukwaa ambalo litatupa mwanya wa kujadili mambo mbalimbali ya uchumi kiuhalisia zaidi ya tunayoyasoma vitabuni darasani.lakini cha kushangaza chuo kimekuwa kioga sana kutoa kibali hicho.katiba na kila kinachohusika walituagiza tukakamilisha lakini wapi!bado wanasita.hatuna lengo baya ni kitaaluma tu kama vyuo vingine wanavyofanya lakini hapa kwetu imekuwa ngumu jamani.hii ni sahihi kweli jamani?tusaidieni mawazo wachumi wenzetu
Jikusanyeni kundi lenu la wanafunzi na hiyo katiba yenu mkajisajili pale Wizara ya Mambo ya Ndani...
 
Back
Top Bottom