The Biggest IQ
Member
- Nov 24, 2010
- 54
- 3
kwa muda mrefu ss mm pamoja na wachumi wnaharakati wenzangu wa chuo cha kumbukumbu ya mwl nyerere(mwl nyerere memorial academy) tumekuwa tukifuatilia kuanzishwa kwa jukwaa la wachumi(economics forum) hapa chuoni kwetu.jukwaa ambalo litatupa mwanya wa kujadili mambo mbalimbali ya uchumi kiuhalisia zaidi ya tunayoyasoma vitabuni darasani.lakini cha kushangaza chuo kimekuwa kioga sana kutoa kibali hicho.katiba na kila kinachohusika walituagiza tukakamilisha lakini wapi!bado wanasita.hatuna lengo baya ni kitaaluma tu kama vyuo vingine wanavyofanya lakini hapa kwetu imekuwa ngumu jamani.hii ni sahihi kweli jamani?tusaidieni mawazo wachumi wenzetu