mfarisayo
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 5,160
- 2,001
Mcklze hata na mwenzake Shafii Dauda. Tune clouds fm
Tena Shafii Dauda ndo hajui kitu kabisaaaaaaaaaaaaaaa. Yani yeye anajua historia tu ya mpira lakini si mpira unavyochezwa
Mcklze hata na mwenzake Shafii Dauda. Tune clouds fm
Katika watu ambao walikuwa hawajui kitu Mzirai ni mmoja wapo tena afadhali hata ya edo, mzirai alikuwa ni mtu wa majungu na fitna tu ya kuwahonga kina ngasa na mgosi wasifunge kwenye timu ya taifa ili maximo aonekane mbaya
Nijuavyo mimi uchambuzi wa kitu sio lazima usome darasani,inawezekana edo anasoma kwenye mitandao na magazeti ya nje,na kuwa mchambuzi sio lazima ujue kila kitu.Ricky abdallah ameitwa DR.sio kwa kucheza wala kukaa darasani kusomea mpira ni mapenzi na uelewa wake wa soka.Mziray (late)huyu hajawahi kucheza mpira ni mtaaluma wa elimu ya viungo na hakuwahi kuwa mchambuzi wa soka bali mwalimu wa soka na vituo vya tv vilitumia elimu yake ya ukocha.Superspoti wachambuzi wao sio wasomi wa darasani ni wachezaji wa zamani.Labda kama unalililojificha.
Tena Shafii Dauda ndo hajui kitu kabisaaaaaaaaaaaaaaa. Yani yeye anajua historia tu ya mpira lakini si mpira unavyochezwa
Yeah, kuna tofauti kubwa kati ya ujuzi wa jinsi mpira unavyochezwa na matukio mbalimbali ya kihistoria katika sokaYani yeye anajua historia tu ya mpira lakini si mpira unavyochezwa
hawa wanojiita wachambuzi wa soka wa bongo akiwepo edo wanaboa bado wanapotumia mitazamo ya kizamani katika kuchambua soka.siku zote soka haliko general.wao wanachambua soka kwa ujumla wake lakini hawawezi kuchambua soka kimfumo.kifupi wanapenda kutumia hisia binafsi badala ya kufahamu mifumo ya timu ikoje na wanachezaje.ukitaka kuliona hili wasikilize mtazamo wao wanapoichambua timu iliyofungwa utagundua wanasema kitu kimoja na zaidi kwa hisia binafsi.mchambuzi halisi kama wenzetu wa ng'ambo (na mimi) wanazisoma kwanza mifumo ya timu husika ili aki komenti akomenti kulingana na falsafa inayotumiwa na timu husika.
Sio ajabu kukuta mchambuzi anailaumu timu inayotumia falsafa ya kaunta attack kuwa haijaposesi mpira kwa asilimia kubwa!!!hiyo ndio falsafa yao wamejipangia hivyo.hata edo hili linamsumbua,aongeze bidii hapo na ajitoe ktk kutumia hisia binafsi
Unajua watanzania tunapenda kutetea ujinga,
Safi sana. Nimewasikiliza sana, wao wanadhani kujua historia ya timu au wachezaji ndo kila kitu kwenye analysis!
Worokoso!!!!!!