Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 51,289
- 22,589
Kama ningekuwa karibu na Mungu ningemwomba kilwa mwezi uwe December;;wapendwa sijui huko mbagala kimara ila wa huku maporini tegeta mwenge mpaka mjini barabara nswano kabisa
Hili lilinifanya kutafuta sababu maalum na kuakikishiwa na mmoja wa maofisa wapolisi barabarani anaependa sana kukaa pale morocco kwamba WACHAGA ndio walkuwa wakijaza magari yao
Kutokana na muda hu wa kuhesabiwa wengi wamefungia magari majumbani mwao na wengine kusemekana hata watoto awagusi maana funguo wameondoka nazo ..kwa kweli hili kwanza napenda
kuwapongeza mashemeji zangu kwa kuwa mlijiandaa kweli wakati mnakuja dar toka uru/marangu/rombo/kiraracha/kishumundu nk
Pili nawapongeza kwa kujali mila maana wengi wa waliobaki hapa nawahakikishia wazazi wao wanakufa maskini na njaa hata kwenda mbeya singida na mbaya zaidi wengine hapo morogoro naamini kwa hili mliobakia embu tuachieni wapogoro barabara zetu ikifka dec mwende kwenu jamani mnataka kututtesa janaury mpaka dec loh!!!
K wa mara nyingine nawapongeza kwa kujaza hii mikopo ya japan maana walikuwa wanahangaika sana wapi wataimwaga ila kwa ili mungu atowwaacha kwa rehema zenu
kwa kumalizi
SHIMBONYI MAI/MBE KANYI,HAPPY EASTER!!OTE HAPPY EID MUBARAK!!MBUTANA ,NGACHANGANYIKIO BANA!!OOHH HAPPYBIRTHDAYii WAI NGASUKO ULALU!! HAPPY CHAGGADAY!!CHA NGAMKUMBUO MALYA,MOSHI,MAKAWIA,LYIMO,MOSHA,NGULI NA WOSE ::MERRY XMASS N HAPPY NEW YR 2011
NACHO NAKUWIA NGIICHI KABISA
ULAKUCHA
Hili lilinifanya kutafuta sababu maalum na kuakikishiwa na mmoja wa maofisa wapolisi barabarani anaependa sana kukaa pale morocco kwamba WACHAGA ndio walkuwa wakijaza magari yao
Kutokana na muda hu wa kuhesabiwa wengi wamefungia magari majumbani mwao na wengine kusemekana hata watoto awagusi maana funguo wameondoka nazo ..kwa kweli hili kwanza napenda
kuwapongeza mashemeji zangu kwa kuwa mlijiandaa kweli wakati mnakuja dar toka uru/marangu/rombo/kiraracha/kishumundu nk
Pili nawapongeza kwa kujali mila maana wengi wa waliobaki hapa nawahakikishia wazazi wao wanakufa maskini na njaa hata kwenda mbeya singida na mbaya zaidi wengine hapo morogoro naamini kwa hili mliobakia embu tuachieni wapogoro barabara zetu ikifka dec mwende kwenu jamani mnataka kututtesa janaury mpaka dec loh!!!
K wa mara nyingine nawapongeza kwa kujaza hii mikopo ya japan maana walikuwa wanahangaika sana wapi wataimwaga ila kwa ili mungu atowwaacha kwa rehema zenu
kwa kumalizi
SHIMBONYI MAI/MBE KANYI,HAPPY EASTER!!OTE HAPPY EID MUBARAK!!MBUTANA ,NGACHANGANYIKIO BANA!!OOHH HAPPYBIRTHDAYii WAI NGASUKO ULALU!! HAPPY CHAGGADAY!!CHA NGAMKUMBUO MALYA,MOSHI,MAKAWIA,LYIMO,MOSHA,NGULI NA WOSE ::MERRY XMASS N HAPPY NEW YR 2011
NACHO NAKUWIA NGIICHI KABISA
ULAKUCHA