Wachaga wa Kirua Vunjo BANA

KV ni kwetu tatizo kule watu wote tumekimbilia mjini wamebaki wanywa viroba tu
 
Unakumbukaje vijiji/vitongoji hivi vya KV?......kanji, nduoni, sumi, tela, mandangeni, kwamare, mochara, pakula, iwa, ko-mangi, rindima, cholo, uparo, urenga, kileuo, mrumeni, mero, usangi,manzaoni, kotule, ko-msungu, kiwaloni, ko-pachi, kombela, ko-yuli, ko-sapiny, ko-rene, mafuruwanjeny, manu, keura, kisanja, ko-kara, ko-laria, kiorotsuny, mooto, mbosana, keura, kisangany,.......etc
 
Back
Top Bottom