TUMBIRI
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 1,933
- 1,199
Wakuu,
Tangu jana nimekua nikiisoma ripoti ya Serikali Kuu ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ya mwaka wa fedha 2010/2011 yenye kurasa 191. Nilipofika ukarasa wa 90 nikashtuka kuona baadhi ya wabunge wetu wametajwa kuchukua pesa za Perdiem kwa ajili ya vikao vya Bungeni mjini Dodoma wakati hawakuwepo Dodoma. Sehemu ya ripoti inasomeka hivi:
Sasa mimi najiuliza kama ripoti imepelekwa kwa Wabunge ili watoe hukumu wakati baadhi yao wanatumiwa ndani ya ripoti. Je tutarajie nini? Nafananisha kesi hii na ule msemo wa kesi ya Ngedere unampelekea Nyani.
Tangu jana nimekua nikiisoma ripoti ya Serikali Kuu ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ya mwaka wa fedha 2010/2011 yenye kurasa 191. Nilipofika ukarasa wa 90 nikashtuka kuona baadhi ya wabunge wetu wametajwa kuchukua pesa za Perdiem kwa ajili ya vikao vya Bungeni mjini Dodoma wakati hawakuwepo Dodoma. Sehemu ya ripoti inasomeka hivi:
Vote 42: National Assembly
Allowances amounting to Shs.6,960,000 were paid to Members of Parliament as per diem during the Parliamentary sessions while they were not in Dodoma and Shs.20,915,126 were paid to various officers and MPs contrary to Standing Orders and staff circular.
Sasa mimi najiuliza kama ripoti imepelekwa kwa Wabunge ili watoe hukumu wakati baadhi yao wanatumiwa ndani ya ripoti. Je tutarajie nini? Nafananisha kesi hii na ule msemo wa kesi ya Ngedere unampelekea Nyani.