NGANU
JF-Expert Member
- Oct 18, 2012
- 1,919
- 393
huyu jamaa nimemuona jana Azam tv kwenye pangapangua yuko vizuri and composed tofauti na wapinzani wake (hapa mgombea wangu wa ukawa utanisamehe) I can see another Filikunjombe on him!
Mkuu huyo ni UKAWA sijui husamehewe nn