Simiyu Yetu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 18,949
- 4,633
Chadema lazima wasambaratike mliambiwa chama chenu cha kikabila kinafika mwisho.
na lazima wote mpotee na hao wagombea wenu huna wa kuwapigia kura hao wanafikiZito ndio Raisi wa kigoma popote alipo wananchi wa kigoma tupo.
Hatuyumbishwi chadema na nccr tumewaachia watu wa kaskazini.
Tuliipokea vizuri nccr, tukaipokea vizuri chadema sasa tumechoka kuburuzwa,ni zamu ya chama cha ukombozi wa kweli,
ACT WAZALENDOOOOOOOOOO.
Definetly! Kumuondoa zitto was suicidal! Cdm is no more. more to happen come October finale!
Kiingereza kibovu kabisa hicho nyie niwale mnaosoma 1-vi kwa miaka miwili Nn?
na lazima wote mpotee na hao wagombea wenu huna wa kuwapigia kura hao wanafiki
Kwa hicho ulichokiandika naomba nikuulize tu uchaguzi wa serikali za Mitaa ulifanyika Zitto akiwa CHADEMA? vipi matokeo yaliyopatikana je CHADEMA Mitaa, Vijiji na vitongoji ilivyokuwa ikiviongoza vilipungua au viliongezeka? ukipata jibu la haya maswali yangu utajielewa huko kundi gani na hiki ulichokiandika je ni sahihi au upuuzi.Definetly! Kumuondoa zitto was suicidal! Cdm is no more. more to happen come October finale!
Bilioni 150 unaijua wewe au unaiona kwenye namba? Ushawahi kushika japo milioni tu ya kwako isio ya mkopo?Mosesi machali ni mnafiki sana,yeye ndie aliyesababisha kafulila kugombana na chama chake kabla ya kufikia makubaliano,lkn leo anahasi chama?kweli henreko nyerere alisema kitu na nanukuu kuna bilion 150 zimetengwa kwa nia kuvunja baadhi ya vyama
tokushobokelwa??? we nenda na zitto tuBavicha mtajuta kumfahamu Zitto Teh Teh
Naomba nikukumbusheDefinetly! Kumuondoa zitto was suicidal! Cdm is no more. more to happen come October finale!
Chadema lazima wasambaratike mliambiwa chama chenu cha kikabila kinafika mwisho.
Kilikuwa chama cha Mpito kwa hao jamaa! Kwa CDM imeshindikana!
Seasonal migrational!
Kama Nyumbu wa Tarangire
Kilikuwa chama cha Mpito kwa hao jamaa! Kwa CDM imeshindikana!