Wabunge wagundua njia ya kuongeza posho

darasa7

JF-Expert Member
Sep 29, 2013
395
60
Ni kusogeza siku mbele kwa kujadili mambo yasio na umuhimu na kuhailishailisha bunge pasipo umuhimu wowote leo ni siku ya 20 bado wanatunga kanuni mara seminar
 
mimi nafanya mchakato wa kusaka uraia wa SOMALI uzalendo wa kujiita mtanzania umefikia kikomo.
 
We are not politicians but we suffer the consequences, ndo inavyotokea kwa Watanzania wengi!
 
Wakiongozwa na SUS, (Sendeka, Umi na Serukamba).

Umeonaee hawa wametumwa maalumu kwa kazi hiyo. Watanzania kuweni na huruma na kodi zenu basi. Ni kama wanacheza mchezo wa mduara wanazunguka wanarudi palepale, siku zinaenda tu. Wao wanapata chao shida yao iko wapi?
 
Ni kusogeza siku mbele kwa kujadili mambo yasio na umuhimu na kuhailishailisha bunge pasipo umuhimu wowote leo ni siku ya 20 bado wanatunga kanuni mara seminar

Naona kama vile waanze kuwalipa posho kwa Ajenda badala ya kwa Siku, hii itasaidia sana kuhepuka mchezo wanaoufanya.
 
Wajube wa baraza la wawakilishi na wajumbe wengine (wasio wabunge) ndio wanaoongoza kwa kutojali muda, wakiongozwa na Kificho.
Wapo kitalii zaidi.
 
TZ ni nchi ya pekee sana katika uso wa Dunia.

Ni kweli Mji Mkuu ni Dodoma lakini lakini serikari inaishi na kukaa Dsm wabunge wote wamehama kwao wanaishi Dsm Kuna idadi kubwa ya Viongozi Rais wa Muungano Pia Rais wa ZNZ makamu wa Rais muungano waziri Mkuu na makamu wa kwanza na wa pili Zanzabar yaani ni Muungano Ghari sana kuundesha kuliko muungano wowote Duniani Nyerere na Karume Waliunganisha Tanganyika na ZNZ wakitarajia kuja Kuwa na Serikari moja tu si vinginevyo ! ilipaswa sasa Rais awe mmoja tu na makamu wake kisha huku Bara panaongozwa na Gavana kadhalika ZNZ hivyo hivyo huu Muungano ungelikuwa Digtal na kero za muungano zingelibaki Historia tu
 
Umeonaee hawa wametumwa maalumu kwa kazi hiyo. Watanzania kuweni na huruma na kodi zenu basi. Ni kama wanacheza mchezo wa mduara wanazunguka wanarudi palepale, siku zinaenda tu. Wao wanapata chao shida yao iko wapi?

ingekuwa Kenya pangechimbika,Tanzania ni nchi iliyorogwa na mrogaji alishakufa 1999
 
Wajube wa baraza la wawakilishi na wajumbe wengine (wasio wabunge) ndio wanaoongoza kwa kutojali muda, wakiongozwa na Kificho.
Wapo kitalii zaidi.

Hapo ndipo utapojua Kuwa Wabunge wa Zanzibar ni wajanja sana wanajua jinsi ya kuvuna posho za Watanganyika huku posho zao kule Visiwani wavuna peke Yao tu hata katiba Yao walatunga peke Yao na posho walijilipa pesa hii inayotoka Tanganyika na Hakuna mbunge wa Tanganyika alishirikishwa kwenye katiba ya ZNZ na Mpaka sasa wanajiuliza watazitumia vipi katiba mbili yaani hii mpya inayokuja na ile ya kwao ambayo inatumika sasa .
 
Hapo ndipo utapojua Kuwa Wabunge wa Zanzibar ni wajanja sana wanajua jinsi ya kuvuna posho za Watanganyika huku posho zao kule Visiwani wavuna peke Yao tu hata katiba Yao walatunga peke Yao na posho walijilipa pesa hii inayotoka Tanganyika na Hakuna mbunge wa Tanganyika alishirikishwa kwenye katiba ya ZNZ na Mpaka sasa wanajiuliza watazitumia vipi katiba mbili yaani hii mpya inayokuja na ile ya kwao ambayo inatumika sasa .

Patamu hapo...
 
mimi nafanya mchakato wa kusaka uraia wa SOMALI uzalendo wa kujiita mtanzania umefikia kikomo.

Dah! pole sana ila ilo chaguo lako bado tunakusihii baki hapa hapa manake bunge bongo halijawahi kuwa la lamaana kwa watanzania kutokana wanafanya mambo ya kawaida sana na Sasa tulidhani hili ndio lingekuwa tofauti lakini kuna najisi ile ile ikajumuishwa humu tena.

Achana na habari zao kabisa hata ukiona katika gazeti usisome TV amia citizen na supersport mpaka siku 70 zipite katiba Warioba alishatengeneza hivyo vichwa 600 havina input yeyote ya maana sana sana wataongeza koma na nukta tu.
 
Akina kificho wakati wanatunga katiba Yao walitunga kwa Uficho sana Wabunge wa Bara hawakualikwa kabsa sasa kuna mchakato wa Katiba ya muungano lakini hao hao Wanzazibar Ndio wanaongoza kwa Vioja pale Mjengoni kwa Mtizamo wangu tulipaswa kwanza Tuwe na Katiba ya Tanganyika kwanza kisha ndipo ije katiba ya muungano angalau kila Nchi iwe na katiba yake Binafsi kisha ije katiba ya muungano itasaidia kupunguza ujanja wa wabunge visiwani
 
Dah! pole sana ila ilo chaguo lako bado tunakusihii baki hapa hapa manake bunge bongo halijawahi kuwa la lamaana kwa watanzania kutokana wanafanya mambo ya kawaida sana na Sasa tulidhani hili ndio lingekuwa tofauti lakini kuna najisi ile ile ikajumuishwa humu tena.

Achana na habari zao kabisa hata ukiona katika gazeti usisome TV amia citizen na supersport mpaka siku 70 zipite katiba Warioba alishatengeneza hivyo vichwa 600 havina input yeyote ya maana sana sana wataongeza koma na nukta tu.

Hu hu hu hu.....kiongozi umenichekesha..
 
mwenye kulifahamu hili naomba anijuze..
Mwenyekiti wa kudumu katika Bunge la katiba anachaguliwaje?
 
Back
Top Bottom