Fundi Mchundo,'
Usichanganye mambo. Baraza la senate au kamati ya senate hapa Marekani inayo kila haki ya kuwaita viongozi wa Microsoft kama kutakuwepo na utata katika uendeshaji wao. Kwetu wabunge walikuwa na wana na kila haki ya kumwita Mr. Tudor au kutembelea mbuga zake ambazo naamini bado ziko chini ya himaya ya Jamhuri ya Mwungano wa Tanzania. Unless eneo lake ni himaya mpya isiyo chini ya mamlaka ya Tanzania.
Usichanganye mambo. Baraza la senate au kamati ya senate hapa Marekani inayo kila haki ya kuwaita viongozi wa Microsoft kama kutakuwepo na utata katika uendeshaji wao. Kwetu wabunge walikuwa na wana na kila haki ya kumwita Mr. Tudor au kutembelea mbuga zake ambazo naamini bado ziko chini ya himaya ya Jamhuri ya Mwungano wa Tanzania. Unless eneo lake ni himaya mpya isiyo chini ya mamlaka ya Tanzania.