Wabunge wa Yanga walipa Goli 5 za Simba

Leo tumeona kupatwa kwa Ngoma na Tambwe...chezea Dk Tiboroha wewe

Alipoondoka Yanga, timu ikapokea kichapo cha bao mbili za nguruwe mzee Tanga, msimu huu amehamia Stand United amewashushia kipigo cha bao moja la nguruwe kijana....
 
Mnapiga kelele saana, Tarehe 1 October mtanyamaza tu... Yanga itashuka kwa hasira zoote kushusha kipigo kitakatifu....
 
Kama mnadhani simba hii ni ya msimu uliopita,endeleeni kuota.Njooni na matokeo yenu uwanjani.
 
Back
Top Bottom