Wabunge wa upinzani watoka nje tena kwa kupuuzwa!

Nyakageni

JF-Expert Member
Feb 1, 2011
15,045
5,093
Wabunge zaidi ya 20 walisimama kwa mujibu wa sheria lakini Jenista Muhagama akaandika majina na kutowapa nafasi, akitaraji kuwapa nafasi mwishoni! Cha ajabu hajui wanataka kuzungumzia nini. Wametoka nje ya ukumbi. Mbunge wa CUF mwanamama Mwituka na John M. Shibuda wa CHADEMA, Dr. Augustine Lyatonga Mrema wabaki ukumbini. Otherwise its all green

UPDATE:
waziri wa nchi atoa hoja ya kuongezwa kwa muda, ina maana kulikuwa na uwezekano wa kupuuzwa kwa wabunge wa upinzani kwa kigezo cha muda.
 
ndugu wanajf nacheki bunge kwa sasa naona chadema wametoka nje ya ukumbi sijui sababu ni nini.
 
Tatizo sio Wabunge ila tatizo ni waongoza Bunge lenyewe, wanawachukulia wapinzani kama maadui, wanawanyima uhuru, wanawatenga utadhani wao sio viongozi kama wao. Tuangalie tulipojikwaa sio tulipoangukia, mbona wakati wa Samuel Sitta hali haikuwa hivi? Inasikitisha, inaumiza sana.
 
ndugu wanajf nacheki bunge kwa sasa naona chadema wametoka nje ya ukumbi sijui sababu ni nini.

Mkuu katikati naomba uendelee ktujuza yanayoendelea bungeni,wengine vibarua vyetu hatuna access ya kuangalia TV.je CUF na NCCR wamebaki?
 
ndugu wanajf nacheki bunge kwa sasa naona chadema wametoka nje ya ukumbi sijui sababu ni nini.

Mkuu katikati naomba uendelee ktujuza yanayoendelea bungeni,wengine vibarua vyetu hatuna access ya kuangalia TV.je CUF na NCCR wamebaki?
 
sasa wewe unadai unacheki,bado unatuuliza tusiocheki sababu za kutoka nje.......haya ndo matokeo ya watu baadala ya kujibu maswalik kwenye paper yeye anaadika mistari ya bongo fleva
ndugu wanajf nacheki bunge kwa sasa naona chadema wametoka nje ya ukumbi sijui sababu ni nini.
 
John magale shibuda yupo bungeni wewe unasema wapinzani gani wakati wengine wapo bungeni,

wewe ungesema kuwa baadhi ya wabunge wa upinzani watoka nje kwa sababu hawajatoka wote.
 
CHADEMA wameenda kuchukua posho bungeni na kuondoka huu ni urafi kama kweli wanajua wamejiaandaa kutoka wangeacha kuchukua posho za walipa kodi wetu ambazo wanachukua za bure.
 
Wana JF,

Katika kile kilichotafsiriwa kuwa mtu kutumia akili na kufikiri kwa kutumia ubongo wake, Mbunge wa Maswa Magharibi kwa tiketi ya CHADEMA, JOHN MAGALE SHIBUDA na mama MWITUKA wa CUF leo wamekana rasmi kuburuzwa na misimamo mibaya ya vyama vyao pale walipokubali kushiriki mjadala unaoendelea wa Muswada wa sheria ya Katiba. Mwenyekiti wa Bunge JENISTA MHAGAMA aliwatambulisha rasmi na kupigiwa makofi na wabunge waliopo.

Mytake: Hakika SHIBUDA na MWITUKA wameonesha ukomavu mkubwa wa kisiasa na kujitambua. hakika hawa ndo wabunge pekee ambao wanawawakilisha vizuri wananchi wao. Wabunge wangine ama wanawakilisha interest za watu wachache au hawatumii akili kufikiri bali wao kazi yao ni kuburuzwa tu na akili za akina Mbowe.

Nawasilisha
 
sasa wewe unadai unacheki,bado unatuuliza tusiocheki sababu za kutoka nje.......haya ndo matokeo ya watu baadala ya kujibu maswalik kwenye paper yeye anaadika mistari ya bongo fleva

ameuliza watu wenye akili timamu sio wewe
 
Umenena,wanawafanya watoto,na siviongozi,,tatizo ni uongozi wa juu na maelekezo waliyopewa.
 
Back
Top Bottom