coby
JF-Expert Member
- Nov 28, 2008
- 342
- 39
Juzi nilimsikia mar. baba wa Taifa akisema Upumbavu ni kipaji kama ilivyo ufupi, urefu n.k Sasa kuna watu humub JF wana vipaji vya upumbavu ukiwagunda wala usihangaike nao kabisa.
Du! Hivi urefu, ufupi ni vipaji??! Maneno ya Baba wa Taifa kweli?