Arsene Dom
Member
- Nov 21, 2010
- 10
- 0
ningependa kuwapongeza wabunge wa CHADEMA kwa uzalendo walioonyesha katika kutetea haki na usawa katika nchi hii . najua kutakuwa na maneno mengi ya kuwakatisha tamaa but keep on doing right things at the right time. i give special credits to mr MBOWE for his successful actions what to do now is to ignore fools like zitto kabbwe he might be a puppet
kilichobaki sasa tudai katiba mpya
najua watanzania tuna tabia ya uoga lakini CHADEMA wametuonyesha njia iliyo njema watanzania
tumechoka kutawaliwa tunataka kuongozwa
kilichobaki sasa tudai katiba mpya
najua watanzania tuna tabia ya uoga lakini CHADEMA wametuonyesha njia iliyo njema watanzania
tumechoka kutawaliwa tunataka kuongozwa