jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,323
Nawauliza watanzania wenzangu, hivi mmefurahishwa na hasara waliotusababishia wahindi, a.k.a wawekezaji wa "RITES" kwenye reli yetu?
Nakumbuka wafanyakazi wa iliyokuwa TRC waliwakataa wale wahuni wa kihindi (walioindinishwa na CCM pale kitalani) kwa kutubainishia ubabaishaji wao. Vyama vya siasa vya upinzani vilipinga kwa hoja, ccm ikawazidi kwa makelele ya ndiooooooooooooooooooo, na hatimaye ccm wamethibitishiwa kuwa si wasikivu,
ccm tuambieni ndiooooooo yenu imetutia hasara kiasi gani na nini adhabu yenu?
Nakumbuka wafanyakazi wa iliyokuwa TRC waliwakataa wale wahuni wa kihindi (walioindinishwa na CCM pale kitalani) kwa kutubainishia ubabaishaji wao. Vyama vya siasa vya upinzani vilipinga kwa hoja, ccm ikawazidi kwa makelele ya ndiooooooooooooooooooo, na hatimaye ccm wamethibitishiwa kuwa si wasikivu,
ccm tuambieni ndiooooooo yenu imetutia hasara kiasi gani na nini adhabu yenu?